Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Hivi hujui niko na aibuUnakulaje kwa mfano ebu niambie kiduchu
Hivi hujui niko na aibuUnakulaje kwa mfano ebu niambie kiduchu
Cjambo shemeji yngu sijui nyinyi humuSalama shemela, vipi weye.
SawaHuyu demu mm nilimpenda tu nikaamua niweke pic yake..
Sasa hao watakao nitongoza kisa hii pic ni wapumbavu na hawana sj
Akili huwez tongoza mtu kisa avatar ya kike..
Mbaya zaidi nimekua nikisema kabisa mm ni Dume/Basha/Ngosha/Nina miguu mitatu inayofanya kazi 24/7
Ebana we, sie tuko fiti kalikiti.Cjambo shemeji yngu sijui nyinyi humu
Nzuri mke mweee D na baba ake hawajamboSalama za wewe mke mwee
Tafuta kitoko kimoja unachokiamin ni kikali, unifungie nae usiku kucha then asubuh utapata majibu yake.. pliz naomba usiwe wewe maana wewe mtihani utakuwa rahisi saana![]()
![]()

Shululu katingwa sanaSi ndio nimeingia nimekuta shululu hajaweka
Thanks my baby girlThank u mom![]()
![]()
hv a nice evening

Nitumie kwenye whatsap moneyKama huko kwenu umeme mnanunua naombeni mtu aninunulie umeme hata wa elf 4 nitamtumia pesa yake




Huko mnanunuaNitumie kwenye whatsap money
NdioHuko mnanunua
Ngoja nikutumieNdio
Ila wanatukomoa sisiMpaka wapate jengo jipya
Komoaa nikukomoee
Tuma namba ya lukuKama huko kwenu umeme mnanunua naombeni mtu aninunulie umeme hata wa elf 4 nitamtumia pesa yake