Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ahahha kwanini nisiwe mimi na huo mtihani unakuaje rahisi
Sasa kwa wewe heshima iliyopo naanzaje kupata mawazo negative negative, lazima unipe kitu ambacho roho nifanye kuikaza kweli..

Wewe tutakesha tunapiga stori, tunaongopeana, kuja kutahamaki asubuh kumepambazuka..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom