makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,972
- 104,394
Iiihh... We shunie mara ngapi nimekula viapo kwako na kutoa ushuhuda mie nimeacha upuuziAhahahhh umebadirika toka lini maka

Iiihh... We shunie mara ngapi nimekula viapo kwako na kutoa ushuhuda mie nimeacha upuuziAhahahhh umebadirika toka lini maka

Ni kweli hakuna marefu yasiyo na ncha lakin kila nikiwatizama katika ramli aliyoniachia babu wa babu.. naona bado watatupelekesha saana..Ila ipo siku yao tu isiyokuwa na jina
Sio mimi lakini ni zay b huyo...
Sikufikii wewe mwenzangu..
Eti wanasema ndege wafananao huruka pamoja![]()
![]()
![]()



Nimecheka kwa sauti wahenga misemo yao ina maana sana
Mmh siamini mie kwahiyo umekua na tabia nzuri sasa hiviIiihh... We shunie mara ngapi nimekula viapo kwako na kutoa ushuhuda mie nimeacha upuuzi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sanaaa mpaka tukomeNi kweli hakuna marefu yasiyo na ncha lakin kila nikiwatizama katika ramli aliyoniachia babu wa babu.. naona bado watatupelekesha saana..
Hawakuwa mapopoma wale, misemo yao ilikuwa na mashiko.. sio misemo ya siku hizi, mara utajiju, mara sijui laki si pesa, sijui mwanamke nyonga tako majaaliwa n.kNimecheka kwa sauti wahenga misemo yao ina maana sana

Kupita maelezo, mpaka malaika wanataka kuniigaMmh siamini mie kwahiyo umekua na tabia nzuri sasa hivi

Kupita maelezo, mpaka malaika wanataka kuniigaMmh siamini mie kwahiyo umekua na tabia nzuri sasa hivi

Kweli vile.. kama huamin fanya jaribio.Mmh siamini mie kwahiyo umekua na tabia nzuri sasa hivi

Tukomeke, maana kama kukoma tayari tushakoma.Sanaaa mpaka tukome
Hivi hyo avatar ukitongozwa utalalamikaUsiku mwema...
Salama shemela, vipi weye.Habari ya leo wapenzi poleni na majukumu
Njoo kama unawezaNi wapi huko nikuje na mm
Haha
Magazeti ya kesho auMagazeti yatawajia hivi punde![]()
Akili huwez tongoza mtu kisa avatar ya kike..Hivi hyo avatar ukitongozwa utalalamika
AhahahhahahahHawakuwa mapopoma wale, misemo yao ilikuwa na mashiko.. sio misemo ya siku hizi, mara utajiju, mara sijui laki si pesa, sijui mwanamke nyonga tako majaaliwa n.k![]()
![]()