Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
OkayNafurahi kujua hilo..
OkayNafurahi kujua hilo..
Ebu niambie we Babu umetukana tusi gani hilo la kimoyo moyo nijue jamaan...ha hahahahaha, nimekutukana kimoyomoyo.
Morning Makapuku.
Magazeti yatawajia hivi punde, hata mimi nayasubiri

Nipe sasa jamaanHaya yachukue tu ndugu yangu
Ahahahh sitakagi ujingaHahaa.. kama nakuona vile ndugu yangu unampa mtu vidonge vyake..
Asubuhi njema iwe kwenu nyote.. na baraka za mola wetu aliyetukuka ziwe kwetu sote..

Na kwako pia maka akee
Tunakupenda piaMwajua vile nawapendaga eehh.. (kikongolizi)![]()
![]()
![]()

Ni wapi huko nikuje na mmUmefanyaje "kule" mbona sikupati?
MmhNipo mbona.... Jaribu tena hebu
Chagua wataka kwacha, randi, yuan, pound, euro, naira, dolari, shilingi, franc, au!?Nipe sasa jamaan
Ahsante shunie ake..Na kwako pia maka akee
Napata faraja ya moyo kuona kuna watu wapo wananipenda..Tunakupenda pia![]()

Tulia shunie utakuja kuona, usivyopaswa kuona ndugu yangu.. shaur yako.Ni wapi huko nikuje na mm

Shenzi hao..Hawa ma ccm na gazeti lao nimekosa cha kuongea![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nataka poundChagua wataka kwacha, randi, yuan, pound, euro, naira, dolari, shilingi, franc, au!?



Ahahahh kama nakuona huko ulipo kule watu ni washenzi unaweza ukajitokeza tu kucomment lijitu linapotokea huko linaanza sasa mtu usisifie kama pic nzuri au video utasikia shunie njo kwangu kama hiyo mfyuuu