Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
...anakudanganya anakudanganya huyooooo, hawa jamaa sijui waliendaga wapi.
nakumbuka ndo wimbo ulikuwa unamdediketia Kuruthum baada ya kumuacha Joy Bonge

...anakudanganya anakudanganya huyooooo, hawa jamaa sijui waliendaga wapi.
nakumbuka ndo wimbo ulikuwa unamdediketia Kuruthum baada ya kumuacha Joy Bonge

Nawe pia shululuView attachment 631067Asubuhi njema makapuku wote na jumatano njema
....shemu wako haogopi kurogwa? Kama anadawa ya kujinasua wakinasiana basi amsogelee kipenzi changu. sitaki masihara kwenye mambo ya kimwili mimi

....labda BH ataniita baby!! Maana ukweli usemwe Husna wangu hajawahi kuniita baby, ananiita jina langu tena lile la ukoo kabisa utasema tumezaliwa tumbo moja
BH kokote uliko njoo umuite "baby"huyu kiumbeHa hahahahahahah! Mjomba wangu kama mfanyakazi wa makumbusho ya taifa, hachagui cha kuangalia. Oh, jiko la shamba
kijembe mubashara....unataka cha shilingi ngapi, maana sio tu useme upatiwe chochote kumbe mfukoni una nauli tu ya kurudia kwenu

...na ukiniona nacheza kiwanzenza ndo utajua kabisa sijakamilika, nayarudi mangoma kama HBaba

...usiende kumpa yule muuza vipodozi, akikuona tu atakudai, unamkumbuka yule dada wa bank, eeeh, alikopa mascara kwa jina lako. so nenda ukadaiwe

Zaburi 145
Shukrani mkuuView attachment 631067Asubuhi njema makapuku wote na jumatano njema