ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Haya ngoja nimuulizeMuulize wifi yako shunie
Haya ngoja nimuulizeMuulize wifi yako shunie
Ndio umefanya isivyo takiwa ni kama unatoa amri tumia lugha ya ushawishi![]()
![]()
![]()
![]()
nisamehe basi kaka ake
Same to me swtieYaah bby niko Poa sana
Anao wengi ila wa humu ni husna
Lengo lako la kunionea wivu litashindwa na kwa hilo niko bega kwa bega na Shunie make unanionea gere kuwa na mcute wangu mpya ABJ...walinimwaga wote waliponiona nimeenda kwa kabidhi wasii akanikabidhisha kwa wangu mahabibt anayewashinda wote, ua langu nilipendalo Husna.
Wewe nakujua huwezi kumuacha mdogo wa mama Ashura
Upo congo mkuu??Usiku Mwema Wapendwa
Kumbe nna mawifi wengi Asante wifi tumosa![]()
![]()
akaribie tuu
Hahahaha Aa Hongera zake
Ngoja waje*MADEMU WEMBAMBA NDO WANAOMALIZA CHUPI ZA WATOTO MADUKANI*
Cjavuta bado
Hiyo ndo furaha yanguSame to me swtie

Nambie baby hope waendelea vizuri
Hao wapo wengi dearKumbe nna mawifi wengi Asante wifi tumosa
Hyo ngao ni ipi ya kidonge au maji...ngoja kwanza, si tulielewana tusiharibiane, maana nikimuita shemeji tu mara Husna anaanza maswali na ni bora nikaenda kuchukuliwa maelezo polisi, yeye ananiswalisha na kunipima mkojo

Wacha nikupende kipenziHiyo ndo furaha yangu![]()