BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
...yeah napiga sana tungi, yaani kuna siku nimeenda kupiga mishe pale Tungi (kama unaishi kigamboni utakuwa unapajua) nikamaliza nikaingia ndani kidogo Maziwa ndo nikaenda zangu Kishiwani. Tungi si mtaa mzuri kabisa

Mwambie MUNGU maneno haya