Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Ebu niambie maka pozi la nani etiUnajua hapo umefanana na pozi la nani mpendwa!?
Ebu niambie maka pozi la nani etiUnajua hapo umefanana na pozi la nani mpendwa!?
Kesho nenda kwa husna muba mwambie kuwa mama yako alikuwa anamtafuta obe jana usiku hapatikani.. pozi utakaloona ndio ninachozungumzia..Ebu niambie maka pozi la nani eti
Geisha tena.. unamtafutia atoke mabarango baba yakoMwambie kuna geisha babe![]()

hilo pozi sasa,Kama husna muba kaona missed call ya blessedhope kwenye simu ya obe..Mwambie kuna geisha babe![]()

Kesho nenda kwa husna muba mwambie kuwa mama yako alikuwa anamtafuta obe jana usiku hapatikani.. pozi utakaloona ndio ninachozungumzia..
hilo pozi sasa,Kama husna muba kaona missed call ya blessedhope kwenye simu ya obe..![]()
![]()
![]()
Au kama shemeji yangu tumosa anajiandaa kusema tununu..![]()
![]()
![]()







Ahahaha mabarango ndio manini tenaGeisha tena.. unamtafutia atoke mabarango baba yako![]()
![]()
Shemela za weweApambane na hali yake tu
Ila usitoe cheko hili mbele yake kitakachokukuta mie simo.
Salama shemela wangu shikamooShemela za wewe
Ahahahhh kwahiyo ukiwa mzee wa puchu yanakutoka hayo kweli wanaume mmeumbiwa matesoKama mapunye hivi..![]()
![]()
Hana madhara huyoIla usitoe cheko hili mbele yake kitakachokukuta mie simo.
Marahabaaa shemela wangu shunie hujamboSalama shemela wangu shikamoo
Hapana.. ni changamsha baraza, mapunye na puchu havihusianiAhahahhh kwahiyo ukiwa mzee wa puchu yanakutoka hayo kweli wanaume mmeumbiwa mateso
Wewe wewe.. hv unamjua husna muba vizur ww shauri yako,Hana madhara huyo
ZABURI 91
Kumbe umebadili jina hujaniambia
"Yesu aligeuka, akawaona wakimfuata, akawaambia, Mnatafuta nini? Wakamwambia, Rabi, (maana yake, Mwalimu), unakaa wapi? Akawaambia, Njoni, nanyi mtaona. Wakaenda, wakaona akaapo, wakakaa kwake siku ile. Nayo ilikuwa yapata saa kumi.” 
"Yesu aligeuka, akawaona wakimfuata, akawaambia, Mnatafuta nini? Wakamwambia, Rabi, (maana yake, Mwalimu), unakaa wapi? Akawaambia, Njoni, nanyi mtaona. Wakaenda, wakaona akaapo, wakakaa kwake siku ile. Nayo ilikuwa yapata saa kumi.” 