Makapuku Forum

Makapuku Forum

89a64858e2a031d7c343d5954649aec0.jpg
 
"Yesu aligeuka, akawaona wakimfuata, akawaambia, Mnatafuta nini? Wakamwambia, Rabi, (maana yake, Mwalimu), unakaa wapi? Akawaambia, Njoni, nanyi mtaona. Wakaenda, wakaona akaapo, wakakaa kwake siku ile. Nayo ilikuwa yapata saa kumi.”

Yohana 1:38-39.

Asante Mungu Baba kwa Neno lako asubuhi ya leo.

Yamkini mimi na wewe tungemwona Yesu macho kwa macho tungetamani kumfuata na kujua anapokaa, na hata yawezekana tukahamishia makao kwake, Sisi hatuna haja tena ya kumfuata Yesu mpaka anapokaa.

Neno linasema Yesu anakaa ndani yetu na sisi ndani ya Yesu.

Swali ni hili kwetu asubuhi ya leo

Je? Unamfuata Yesu unatafuta nini?

Mwambie Yesu kile unachotaka na asubuhi ya leo hakika utapokea kwa jina lake takatifu.

Kama aliwapeleka wale waliokuwa wanamfuata wakapaone anapokaa, kwa nini asikutendee wewe na mimi??


SIKU NJEMA KWENU MBARIKIWE
Amen
 
"Yesu aligeuka, akawaona wakimfuata, akawaambia, Mnatafuta nini? Wakamwambia, Rabi, (maana yake, Mwalimu), unakaa wapi? Akawaambia, Njoni, nanyi mtaona. Wakaenda, wakaona akaapo, wakakaa kwake siku ile. Nayo ilikuwa yapata saa kumi.”

Yohana 1:38-39.

Asante Mungu Baba kwa Neno lako asubuhi ya leo.

Yamkini mimi na wewe tungemwona Yesu macho kwa macho tungetamani kumfuata na kujua anapokaa, na hata yawezekana tukahamishia makao kwake, Sisi hatuna haja tena ya kumfuata Yesu mpaka anapokaa.

Neno linasema Yesu anakaa ndani yetu na sisi ndani ya Yesu.

Swali ni hili kwetu asubuhi ya leo

Je? Unamfuata Yesu unatafuta nini?

Mwambie Yesu kile unachotaka na asubuhi ya leo hakika utapokea kwa jina lake takatifu.

Kama aliwapeleka wale waliokuwa wanamfuata wakapaone anapokaa, kwa nini asikutendee wewe na mimi??


SIKU NJEMA KWENU MBARIKIWE
Asante mama mchungaji kwa neno la uzima

Ubarikiwe sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom