Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,166
Nataka jamaan tena zikuje mbili kwa mpigo za baridiiiiii [emoji85][emoji85] ila sitaki mama akute hizi post jaman...okay, mimi wala sikubishii, sasa bado unataka hii kinywaji au umeghairi? Ijumaa leo usichelewechelewe sana, nina ratiba nyingi za kijamii na kibaiolojia