Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Nataka jamaan tena zikuje mbili kwa mpigo za baridiiiiii...okay, mimi wala sikubishii, sasa bado unataka hii kinywaji au umeghairi? Ijumaa leo usichelewechelewe sana, nina ratiba nyingi za kijamii na kibaiolojia

ila sitaki mama akute hizi post jaman
