Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Uzuri wa hii, ukifika wakati wa kuifua unaifua kwa adabu sana, sio kujidau unajua kusugua na kupakaa sabuni kama unasugua kola

Uzuri wa hii, ukifika wakati wa kuifua unaifua kwa adabu sana, sio kujidau unajua kusugua na kupakaa sabuni kama unasugua kola

Hongera sana sikujua ati...Ni my love huyoo
Sawasawa binamu...usifikiri ninamuongelea rais wa nchi wewe, nikiwa napiga vyombo furahiday akili yangu huwa iko makini sana na sikufichi mitihani yangu ingewekwa siku za Ijumaa nisingeweza kuwa narudiarudia madarasa.
namuongelea rais wangu wa club ya draft, mimi ni raia wake
Tulikumiss jamaanHongera sana sikujua ati...
Kho kho khoAsante kwa kuniombea, baraka ziwe nawe pia. Hujambo lakini BH
Hongera sana sikujua ati...
Kho kho kho
Mmh emmyguy na sweetpie tena
waliondoka kipindi kimoja na wala sijahusianisha matukio ya kijamii



we mzee unakumbu kumbu ujue
Naomba kinywaji basi mbona mchoyo hivyo...wewe jikoholeshe tu kama umekula ndizi za pilipili mbuzi. nakuangalia tu
Naomba kinywaji basi mbona mchoyo hivyo
we mzee unakumbu kumbu ujue
mzee
Heinken binamu ya baridi sana jamanUngependa kinywaji gani, ujue wewe kwa namna navyokupenda aunt yangu chochote kinywaji utakachosema natekeleza
Kwani binamu sio mzee jamanmzee

Umeshindaje,vp makaburi ya wasio na hatiaAbeeeh![]()