Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Huduma Kwa Mteja

...wala hata sijakosea kusema huduma kwa mteja, tunakosea sana. Ngoja kwanza, najua sijakusalimia na hii kwa sisi watu wa kastama relations tunasema hili ni kosa la kwanza kabla ya kupigwa bao. Haya nakusalimia Kapuku mwenzangu tunayeheshimiana sana, na unalijua hili. Leo niko kiprofesheno zaidi na kama ingekuwa amri yangu, ningewaajiri madalali wote ndo wawe wafanyakazi wa mbele, front officers katika maofisi haya, uhamiaji, utalii, mazingira, uwekezaji, viwanja vya ndege, elimu. yaani kila mahali, maana madalali hata kama hamjuani atafanya ujisikie mnafahamiana tangu mnasoma shule ya vidudu na mlifundishwa na mwalimu Ubuyu.

Sasa juzi nimekaa na anko wangu, katoka Kondoa- Ilangi kwenye semina, shughuli ilikuwa ya siku tatu tu, si unajua Magu kakaza vyuma lakini hajawazuia watu kukazana na ndicho kilichoendelea kwa anko, kaenda semina badala ya kuseminishwa yeye akaanza kumseminisha mseminishaji na semina imeisha wakaanza semina yao, wakaiita semenback. Kumuuliza anko ilikuwa vipi ukajisahau namna ile ukachukua maamuzi magumu, sababu aliyotoa ndo imenivuta kuandika leo. Smile, yeah, tabasamu, anko wangu kafurahishwa na tabasamu la mseminishaji na kilichotokea na kula hela yote ya semina na hata nilipomuomba aniassist akasema labda nisubiri Krisimasi.

Muziki sasa, nakupenda sana wewe Kapuku, uwepo wako hapa unalifanya jukwaa hili kuwa ni sehemu nzuri ya kutembelea shululu , Lyon Lee , husna muba , Tumosa , BlessedHope , Mndali ndanyelakakomu , mzeewakungoa Gentries , Mkushi wa kusi , Shunie , Transcend Nyagei , SHIMBA YA BUYENZE , Clkey , Sakayo , moneytalk , Tetramelyz , @shedede, Werrason , Mussolin5 , Bitoz , Jimena , eden kimario , Joseverest , dingimtoto na wewe ambaye sijakutaja jina lakini umuhimu wako hapa ni wa kipekee

 
Muziki: Huduma Kwa Mteja

...wala hata sijakosea kusema huduma kwa mteja, tunakosea sana. Ngoja kwanza, najua sijakusalimia na hii kwa sisi watu wa kastama relations tunasema hili ni kosa la kwanza kabla ya kupigwa bao. Haya nakusalimia Kapuku mwenzangu tunayeheshimiana sana, na unalijua hili. Leo niko kiprofesheno zaidi na kama ingekuwa amri yangu, ningewaajiri madalali wote ndo wawe wafanyakazi wa mbele, front officers katika maofisi haya, uhamiaji, utalii, mazingira, uwekezaji, viwanja vya ndege, elimu. yaani kila mahali, maana madalali hata kama hamjuani atafanya ujisikie mnafahamiana tangu mnasoma shule ya vidudu na mlifundishwa na mwalimu Ubuyu.

Sasa juzi nimekaa na anko wangu, katoka Kondoa- Ilangi kwenye semina, shughuli ilikuwa ya siku tatu tu, si unajua Magu kakaza vyuma lakini hajawazuia watu kukazana na ndicho kilichoendelea kwa anko, kaenda semina badala ya kuseminishwa yeye akaanza kumseminisha mseminishaji na semina imeisha wakaanza semina yao, wakaiita semenback. Kumuuliza anko ilikuwa vipi ukajisahau namna ile ukachukua maamuzi magumu, sababu aliyotoa ndo imenivuta kuandika leo. Smile, yeah, tabasamu, anko wangu kafurahishwa na tabasamu la mseminishaji na kilichotokea na kula hela yote ya semina na hata nilipomuomba aniassist akasema labda nisubiri Krisimasi.

Muziki sasa, nakupenda sana wewe Kapuku, uwepo wako hapa unalifanya jukwaa hili kuwa ni sehemu nzuri ya kutembelea shululu , Lyon Lee , husna muba , Tumosa , BlessedHope , Mndali ndanyelakakomu , mzeewakungoa Gentries , Mkushi wa kusi , Shunie , Transcend Nyagei , SHIMBA YA BUYENZE , Clkey , Sakayo , moneytalk , Tetramelyz , @shedede, Werrason , Mussolin5 , Bitoz , Jimena , eden kimario , Joseverest , dingimtoto na wewe ambaye sijakutaja jina lakini umuhimu wako hapa ni wa kipekee


Asante Obe kwa music bora kabisa
 
Muziki: Huduma Kwa Mteja

...wala hata sijakosea kusema huduma kwa mteja, tunakosea sana. Ngoja kwanza, najua sijakusalimia na hii kwa sisi watu wa kastama relations tunasema hili ni kosa la kwanza kabla ya kupigwa bao. Haya nakusalimia Kapuku mwenzangu tunayeheshimiana sana, na unalijua hili. Leo niko kiprofesheno zaidi na kama ingekuwa amri yangu, ningewaajiri madalali wote ndo wawe wafanyakazi wa mbele, front officers katika maofisi haya, uhamiaji, utalii, mazingira, uwekezaji, viwanja vya ndege, elimu. yaani kila mahali, maana madalali hata kama hamjuani atafanya ujisikie mnafahamiana tangu mnasoma shule ya vidudu na mlifundishwa na mwalimu Ubuyu.

Sasa juzi nimekaa na anko wangu, katoka Kondoa- Ilangi kwenye semina, shughuli ilikuwa ya siku tatu tu, si unajua Magu kakaza vyuma lakini hajawazuia watu kukazana na ndicho kilichoendelea kwa anko, kaenda semina badala ya kuseminishwa yeye akaanza kumseminisha mseminishaji na semina imeisha wakaanza semina yao, wakaiita semenback. Kumuuliza anko ilikuwa vipi ukajisahau namna ile ukachukua maamuzi magumu, sababu aliyotoa ndo imenivuta kuandika leo. Smile, yeah, tabasamu, anko wangu kafurahishwa na tabasamu la mseminishaji na kilichotokea na kula hela yote ya semina na hata nilipomuomba aniassist akasema labda nisubiri Krisimasi.

Muziki sasa, nakupenda sana wewe Kapuku, uwepo wako hapa unalifanya jukwaa hili kuwa ni sehemu nzuri ya kutembelea shululu , Lyon Lee , husna muba , Tumosa , BlessedHope , Mndali ndanyelakakomu , mzeewakungoa Gentries , Mkushi wa kusi , Shunie , Transcend Nyagei , SHIMBA YA BUYENZE , Clkey , Sakayo , moneytalk , Tetramelyz , @shedede, Werrason , Mussolin5 , Bitoz , Jimena , eden kimario , Joseverest , dingimtoto na wewe ambaye sijakutaja jina lakini umuhimu wako hapa ni wa kipekee

Mfyuuuuuuuuu zako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom