Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Nina maswalk yangu matatu kwakojamaa yupi anammendea
Nina maswalk yangu matatu kwakojamaa yupi anammendea
Kwa hiyo wewe ankalii ulivoniovateikii ulifirii ntatulia ata kama katiba yetu inasema kizur kipya kula na ankali ila kigezo aliyeona ndo wa kwanza kufaidi
Mm namuongezea vichocheo bwana joveee tu
Kwani mm nimesema nn kibayangoja nirudi nimwage uliyofanya Kondoa - Irangi
Amina Amina tubarikiwe sote ndugu yanguMorning mama mchungaji Mmeamkaje huko, Mungu awabariki wote

Tuko poa karibuHuku vipi wakuu mko poa humu ndani
ulizaNina maswalk yangu matatu kwako
anhaa sawa....mzee wa foma gold
...usisikize maneno ya anko wangu, mimi wa kuniteka ni wewe tu na si mwingine.
Halafu naona zilipendwa wako kaamua kukurudia kinguvu
huyo anko wako mfitini tu nishamzoea

...halafu anko nilijua haya mambo tumeyamaliza kwamba kilichotokea Kondoa kibaki Kondoa, kisitoke. Sasa ukikileta huku na hali unaona kuna jamaa anamzengea Husna wangu, si ndo utasababisha nipewe talaka hata hakujakuchwa na hatujacheza waichukucha
Na michepuko yako utamwachia naniiiiii![]()
![]()
![]()
![]()
Safari hii ukienda kondoa twende ote mpendwa
naona unabebika![]()
![]()
huyo anko wako mfitini tu nishamzoea
Mpendwa banaa mi nishakuwa wako hao wengine imebaki story tu
I love you forever![]()
![]()
![]()
KheeeeeNina maswalk yangu matatu kwako
kumbe ana MICHEPUKO?Na michepuko yako utamwachia naniiiiii
La kwanza ...mara ya mwisho kufamaniwa ni lini?uliza
Ukafanye nini?![]()
![]()
![]()
![]()
Safari hii ukienda kondoa twende ote mpendwa
Shem ndo unauguza maumivu auNa michepuko yako utamwachia naniiiiii