Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hivi sisi tumewakosea nini tanesco jaman ‍♂️‍♂️ umeme wakirudisha kidogo unakatwa yaan naombeni kuja kwenu kucheza

...umeme wamekata tena? Hebu toka nje uangalie kwa jirani kama unawaka!11?

Afu sikuwa najua kama wamekata, kwanini nakuwa wa mwisho kujua kama umeme haupo au haupo? wakirudisha nijulishe wa kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom