Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Mpendwaaaa santeee
....asante kwa kuupenda muziki na zaidi asante kwa kuwa mimi nakupenda zaidi na unalijua hilo
Mpendwaaaa santeee
Binamu shikamoo tupo cie
...nimeona my sweetie, na ya zamani yanakusaidia namna ya kuendelea mbele

Joseverest njoo hapa...kuna kiumbe kinahitaji kuniona mpenzi wangu? Mbona mimi sijui hili, why nakuwa wa mwisho kujua haya mambo

Umeulizwa?!Binamu shikamoo tupo cie

No,haunipendi Bali tunapendana maana mm hata mm nakupenda na unajua pia....asante kwa kuupenda muziki na zaidi asante kwa kuwa mimi nakupenda zaidi na unalijua hilo
Kuna nini??Joseverest njoo hapa![]()
He!,mbona kinyonge hivyo?!Kuna nini??![]()
![]()

Wazima kabisa binamu..nimefurahi kukuona, kina JJ hawajambo?
Naandaa mazingira ya kusemeleaUmeulizwa?!![]()
hamna shida...kuna niniHe!,mbona kinyonge hivyo?!![]()
No,haunipendi Bali tunapendana maana mm hata mm nakupenda na unajua pia

UbarikiweView attachment 620374Asubuhi njema makapuku wote na mwanzo mwema wa wiki hii na mwisho mwema wa mwezi wa kumi
