lizziebettie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 2,873
- 11,966
Weekend ipo poa kabisa, ina utulivu mwingi.Karibu my dear
Habar ya weekend??
Weekend ipo poa kabisa, ina utulivu mwingi.Karibu my dear
Habar ya weekend??
Poa mamy tupo hapa tunasukuma gurudumu letuWeekend ipo poa kabisa, ina utulivu mwingi.
Mruhusu ajeNko naye njoo
Okay, tupo pamoja.Poa mamy tupo hapa tunasukuma gurudumu letu
Acha nikupuuzie tu maana hunijui sikujui na kingine labda nikufahamishe wewe na wenye tabia kama yako hapa jf ya kutishia watu,sina faida nayopata hapa mimi wala wewe ndugu sana tunashinda na kukesha huku kupoteza muda tu.Mimi sijakosea zaidi nlijisikia vibaya mlivyokua mnapita kwenye ile thread kama alieanzisha alivyolalamika kwa hiyo ndugu tafakariJamaa katusema vibaya huko pembeni na ushahidi nimeweka hataki kukubali wala kuomba radhi analeta uzushi uzushi tu anafikiri sisi Makapuku hatujielewi au hii thread sawa na thread zingine
Mwambie a jirekebishe sio kusema Ameen
...............
Umeona eeeh Mimi taanzaje kukuwinda?? Imani yangu kwa pasta imepungua
Pastor anazinguaaaUmeona eeeh Mimi taanzaje kukuwinda?? Imani yangu kwa pasta imepungua
Mabibi na Mabwana wageni waalikwa naomba tusimame kwa dk 1 kutambua uwepo wa watu muhimu sana huku ni Th Name na lizziebettie tuwapigie makofi tafadhali...Karibuni sana mkae wageni wetu..Tupooo shem
Shemdarling habar yako....Nimekuja my dear!
Hahahaa! Asante shem.Mabibi na Mabwana wageni waalikwa naomba tusimame kwa dk 1 kutambua uwepo wa watu muhimu sana huku ni Th Name na lizziebettie tuwapigie makofi tafadhali...Karibuni sana mkae wageni wetu..
Nzuri shem! Nilikuwa napita kimya kimya.Shemdarling habar yako....
Nmekuwa nkiona likes from you
Yes.....
Nimefurahi kukuona karibu sana Shemeji yangu.....Hahahaa! Asante shem.
Asante my shem!Nimefurahi kukuona karibu sana Shemeji yangu.....
Hakikaa tumewakaribisha nabkuwapokeaaaMabibi na Mabwana wageni waalikwa naomba tusimame kwa dk 1 kutambua uwepo wa watu muhimu sana huku ni Th Name na lizziebettie tuwapigie makofi tafadhali...Karibuni sana mkae wageni wetu..
Kafuteni LIKE zenu kwa MbuluNimefurahi kukuona karibu sana Shemeji yangu.....
Asante my shem!
Nilishafuta, nili like kimakosa.Kacuteni LIKE zenu kwa Mbulu
![]()
Someni hapo
.....................