We endelea mke mweee shemejio atakuwa anawaza kwa sauti wala haongei na wwSijawaona wapi tena na tumosa jaman me naomba tu niwawekee nitakapoishia ni hapo yaan sasa hivi nitakuwa mvivu kuingia jf yenyewe nimeingia tu hapa mara moja kuwawekea story najua adha ya arosto ya story nimewaonea huruma watu na arosto najua maumivu yake
Kwenye kuonana kuna mambo gani yaani ni kuonana tuuuu sio kula manyama hivi au vipi ngoja wakuje wenye kutaka kuonana
Usinambie anko umeovateikiii?...nawaangalia tu, niko bia ya tatu, na bado wanapiga taarabu, wakiweka kisanola nitakuja kuwaambia kinachoendelea. kwa sasa nipo na mzigo wa anko umekuja na rafiki yake wanakula kuku tu hapa wa kienyeji , kitu cha foil
Sasa mke mwee ye anataka kuonana bure bure tu tu hata manyama hamna jaman aseme natoa offer ya kuonana ukuje ule manyama unayotaka na kunywa unachotaka sio kuonana tuunajiwazia manyama mke mweee
We endelea mke mweee shemejio atakuwa anawaza kwa sauti wala haongei na ww
Nani alipe aongeze umlipie wewe au ajilipie mwenyewe na we binamu utajua mwenyewe na hiyo mizigo yako...nawaangalia tu, niko bia ya tatu, na bado wanapiga taarabu, wakiweka kisanola nitakuja kuwaambia kinachoendelea. kwa sasa nipo na mzigo wa anko umekuja na rafiki yake wanakula kuku tu hapa wa kienyeji , kitu cha foil
Usinambie anko umeovateikiii?
Shikamo na ongeza bia ya 5 bili kwa shunie
Natoa offer ya member yoyote humu ndani tuonane Jpili
Nyagei
Nnzurihabari
Tupo tupia ile kituMupoooo humu ndani
Sasa mke mwee ye anataka kuonana bure bure tu tu hata manyama hamna jaman aseme natoa offer ya kuonana ukuje ule manyama unayotaka na kunywa unachotaka sio kuonana tu
Sasa mke mwee ye anataka kuonana bure bure tu tu hata manyama hamna jaman aseme natoa offer ya kuonana ukuje ule manyama unayotaka na kunywa unachotaka sio kuonana tu
Mpendwa wako kumtoa bia 3 unaona nongwa? Si analewa yeyeNani alipe aongeze umlipie wewe au ajilipie mwenyewe na we binamu utajua mwenyewe na hiyo mizigo yako
Nani alipe aongeze umlipie wewe au ajilipie mwenyewe na we binamu utajua mwenyewe na hiyo mizigo yako
Ahahahhh..kuonana tu bila kinywaji ni sawa na kuchemsha juice
Mpendwa wako kumtoa bia 3 unaona nongwa? Si analewa yeye
Tupo tupia ile kitu
Anko hili povu la nchi gani?...si bora mimi mizigo yangu hii, kuna Makapuku humu wana mizigo ya dhambi. Nikimalizana ana mizigo yangu, well, mzigo wangu ni mmoja tu, mingine ni ya anko.