Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aliyenuamsha salama mimi na anko wangu kivuruge cha auntie yake ndo huyo huyo aliyekuamsha salama wewe hapo kapuku mheshimika ...salamu nyingi na baraka zitawale ...kama alivosema anko kama wkend tayari ishafika ijmaa hii ni vile kila mtu apambane na hali yake ...
 
0feac3f4ef550260192d98dce21ab174.jpg
 
*TUOMBE*
Mtakatifu Bwana Mungu mwenye Nguvu. Tunakushukuru kwa Ulinzi na uweza wako wa Ajabu juu ya Maisha yetu. Siyo wema wetu,Akili wala Nguvu zetu bali ni kwa NEEMA yako. Tunaomba kila tutakapo kuwa leo tufunike na wingu la Utukufu wako.
Eeh Mungu mbariki kila mmoja mmoja wetu sawa sawa na jinsi upendavyo wewe. Mungu bariki Taifa letu,Mungu Fanya makazi ndani ya Mioyo yetu upate kupanda Mbegu ya Uzima ndani yake.
Ponya wagonjwa na kila jeraha la mmoja wetu,fariji wafiwa,waangalie yatima,wajane,wagane na wahitaji wote..mkono wako utuguse kila mmoja na hitaji lake.
Tunaomba tuliza dhoruba,mafuriko na maafa yote katika jamii zetu.
Walinde watoto wetu popote walipo Baba uwe nao.
safiri na wasafiri wote majini,nchi kavu na angani waendako na watokako wawe salama.
Baba unafahamu mahitaji yetu mmoja mmoja tushike Baba na utujibu sawa na mapenzi yako

Ni katika Jina la Yesu tunaomba tukiamini na kushukuru Amina.

MBARIKIWE
 
*TUOMBE*
Mtakatifu Bwana Mungu mwenye Nguvu. Tunakushukuru kwa Ulinzi na uweza wako wa Ajabu juu ya Maisha yetu. Siyo wema wetu,Akili wala Nguvu zetu bali ni kwa NEEMA yako. Tunaomba kila tutakapo kuwa leo tufunike na wingu la Utukufu wako.
Eeh Mungu mbariki kila mmoja mmoja wetu sawa sawa na jinsi upendavyo wewe. Mungu bariki Taifa letu,Mungu Fanya makazi ndani ya Mioyo yetu upate kupanda Mbegu ya Uzima ndani yake.
Ponya wagonjwa na kila jeraha la mmoja wetu,fariji wafiwa,waangalie yatima,wajane,wagane na wahitaji wote..mkono wako utuguse kila mmoja na hitaji lake.
Tunaomba tuliza dhoruba,mafuriko na maafa yote katika jamii zetu.
Walinde watoto wetu popote walipo Baba uwe nao.
safiri na wasafiri wote majini,nchi kavu na angani waendako na watokako wawe salama.
Baba unafahamu mahitaji yetu mmoja mmoja tushike Baba na utujibu sawa na mapenzi yako

Ni katika Jina la Yesu tunaomba tukiamini na kushukuru Amina.

MBARIKIWE
Amina mama mchungajii
 
*TUOMBE*
Mtakatifu Bwana Mungu mwenye Nguvu. Tunakushukuru kwa Ulinzi na uweza wako wa Ajabu juu ya Maisha yetu. Siyo wema wetu,Akili wala Nguvu zetu bali ni kwa NEEMA yako. Tunaomba kila tutakapo kuwa leo tufunike na wingu la Utukufu wako.
Eeh Mungu mbariki kila mmoja mmoja wetu sawa sawa na jinsi upendavyo wewe. Mungu bariki Taifa letu,Mungu Fanya makazi ndani ya Mioyo yetu upate kupanda Mbegu ya Uzima ndani yake.
Ponya wagonjwa na kila jeraha la mmoja wetu,fariji wafiwa,waangalie yatima,wajane,wagane na wahitaji wote..mkono wako utuguse kila mmoja na hitaji lake.
Tunaomba tuliza dhoruba,mafuriko na maafa yote katika jamii zetu.
Walinde watoto wetu popote walipo Baba uwe nao.
safiri na wasafiri wote majini,nchi kavu na angani waendako na watokako wawe salama.
Baba unafahamu mahitaji yetu mmoja mmoja tushike Baba na utujibu sawa na mapenzi yako

Ni katika Jina la Yesu tunaomba tukiamini na kushukuru Amina.

MBARIKIWE
Ubarikiwe Mama mchungaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom