Makapuku Forum

Makapuku Forum

a75a4dd0ff10782161d6d6d744b9939b.jpg
 
Ndiyo mkuu. Tiketi unaiona unaisave unaendelea kuangalia kama kuna zingine zenye muda mzuri zaidi au bei rahisi ukija kurudi tiketi ile ile unaikuta imepanda kwa dola hata 300 na uko pale pale wala hujaondoka. Jamaa wajanja sana. Wanajua kuwa kama unarudi rudi kwenye site yao basi ni kweli uko siriazi na wanakukamata hapo hapo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom