Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
AgizaaaaaaaaaMie changu ni chang'a tu.. au mataputapu yanatosha..
AgizaaaaaaaaaMie changu ni chang'a tu.. au mataputapu yanatosha..
Yaan binamu wewe
Mama ashura ni wa obe
Si muongooBhasi anko alinidanganya
Mama muuza.. ngumu kumeza, kiboko ya maini, nusu lita.Agizaaaaaaaaa
Leo unamkana?
Kunywaaaaaaa ukimaliza muite pushaMama muuza.. ngumu kumeza, kiboko ya maini, nusu lita.
Endlea mke mweeeWale wa story niendelee au niache
...sure, si muongo kabisa. kumbe na wewe unajua kuwa mimi si muongoSi muongoo
Pitia pale kwa mama ngoma.. njoo na kibiriti ngoma mmoja.Kunywaaaaaaa ukimaliza muite pusha
Wa jumuiaaAchana nae huyo mchochezi me najijua nikiwa na na baba d ni wa kwangu mm akitoka huko nyaku nyaku watajua wenyewe
Mkuu salama??
Kunywaaaaaaa ukimaliza muite pusha
Hayo umesema wewe ujueWa jumuiaa
Kwa mama ngoma mwenge au sijaelewaPitia pale kwa mama ngoma.. njoo na kibiriti ngoma mmoja.
Amen Mtumishi mwema...Waebrania13:1-2
"Upendano wa ndugu na udumu. Msisahau kuwafadhili wageni; maana kwa njia hii wengine wamewakaribisha malaika pasipo kujua."
Tusiache kuwakaribisha wageni kwani huleta baraka mbalimbali na pia wengine ni malaika. Tusiwakaribishe tu bali pia na kuwafadhili, tufanyike baraka kwa wengine nasi tutabarikiwa.
AMEN
JIONI NJEMA MBARIKIWE![]()







