Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,167
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mimi....sijakuagizia mimi, ningekutajia kinywaji hapo ungesema lakini nimeacha uhuru wa kujichagulia kinywaji kuendana na hali yako, kama hali yako inakupambania basi si ulitangaza kuninyima hadi jwisi basi kunywa maji usikie tumbo linavyounguruma