Makapuku Forum

Makapuku Forum

....sijakuagizia mimi, ningekutajia kinywaji hapo ungesema lakini nimeacha uhuru wa kujichagulia kinywaji kuendana na hali yako, kama hali yako inakupambania basi si ulitangaza kuninyima hadi jwisi basi kunywa maji usikie tumbo linavyounguruma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mimi
 
dumb1.gif
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
....sijakuagizia mimi, ningekutajia kinywaji hapo ungesema lakini nimeacha uhuru wa kujichagulia kinywaji kuendana na hali yako, kama hali yako inakupambania basi si ulitangaza kuninyima hadi jwisi basi kunywa maji usikie tumbo linavyounguruma
Kumbukumbu kumbukizi na hiyo juisi nilikuombea mm
 
Back
Top Bottom