Makapuku Forum

Makapuku Forum

571d1f1b5a157659343b5cbfff2b7a77.jpg
 
Waebrania13:1-2
"Upendano wa ndugu na udumu. Msisahau kuwafadhili wageni; maana kwa njia hii wengine wamewakaribisha malaika pasipo kujua."

Tusiache kuwakaribisha wageni kwani huleta baraka mbalimbali na pia wengine ni malaika. Tusiwakaribishe tu bali pia na kuwafadhili, tufanyike baraka kwa wengine nasi tutabarikiwa.
AMEN

JIONI NJEMA MBARIKIWE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom