Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Mimi huyu au anko alivokuwa na simuUlikuwa unaniteta ulijua cpo eeeh
Ananifitinishaa![]()
![]()
we mcingzie huyo anko wako
Afya ndio habari ya mjini
Very goodTutaonana badae tena
Sawa ila usisahau kusababisha kule wozapMke mweeee,Husobe mnajua vile nawapenda

Ndiyo mama JJ![]()
![]()
![]()
kumbe huwa unatufata kimyakimya eeeeh
Ubarikiwe sana![]()
Asante Mtumishi Mwema !

Waebrania13:1-2
AmenNipo mpendwa,, ni pilika pilika tu
Nafurahi kuona umzim pia..
Amin.. tubarikiwe sote ndugu yangu.![]()
![]()
