makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,993
- 104,499
Haikufa juzi, jana wala leo na wala haitakufa kesho, keshokutwa wala mtondogoo.. labda ife jamiiforum kwanza.. this is a family,tumebandana kwa strong bond..Hii forum bado haijafa
Kila mtu anaejisikia kuwa wa hapa anakuwa hapa, kufa si rahisi.


Waebrania13:1-2