Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Mama alikaa kimya kwa kuona maneno ya sheby kuwa makali,.. Sheby aliingia ndani na kuongea na zaituni
"zai?"
"abeee kaka"
"Samahani sana zai... Sikutaka kukuambia wewe kwanza... Ila nimeongea na mama yako kakataa"
"kakataa kufanya nini"
"zai... Binafsi yangu mimi nakupenda sana na wala sitaki kujali hali ulionayo, nipo tayari kuwa na wewe kama mke wangu, lakini mama yako kakataa"
Aliongea sheby huku akiwa kama anonyesha msistizo juu ya jambo hilo, na sheby hataki kutoa taarifa ya kumseidia kuona mana linaweza lisiwezekane jambo hilo..
"lakini kaka yangu, mama yangu hana kosa,.. Nadhani anataka kukuseidia wewe na maisha yako usipate tabu.. Kiukweli mimi nitakuwa mzigo kwako, mana nitakuwa mtu wa kukaa tu, sasa hio sifa ya mke itatoka wapi kama sintojishughulisha na chochote..mkubalie mama yangu ili usipate shida katika ndoa yako"
Sheby hakuamini kama atamkosa zaituni mana nia yake ni kumseidia na sheby anajua kabisa kweli hawezi kuishi nae, lakini yeye anataka kumseidia kuona tena,..
"sawa, naona familia yote mpo pamoja.. Basi nakwenda.... Lakini pale barabarani sitaki kuluona tena, kama ni hio pesa unayopata pale mimi nitakupa mara mbili yake kila siku"
Sasa kumbe wakati mama alikuwa anasikia kila kitu,.. Yaani mwanzo mwisho mama kasikia...
"lakini kaka, kwanini nikupe kazi ambayo haikuhusu... Kama mama yangu kakataa basi"
"kwasababu nilikuwa na nia ya kukuseidia, basi nitaendelea kukuseidia hata kama mumekataa... Kwaheli"
Sheby alitoka lakini akiwa kakasirika sana, yaani hata hamu hana....
"zai?"
"abeee kaka"
"Samahani sana zai... Sikutaka kukuambia wewe kwanza... Ila nimeongea na mama yako kakataa"
"kakataa kufanya nini"
"zai... Binafsi yangu mimi nakupenda sana na wala sitaki kujali hali ulionayo, nipo tayari kuwa na wewe kama mke wangu, lakini mama yako kakataa"
Aliongea sheby huku akiwa kama anonyesha msistizo juu ya jambo hilo, na sheby hataki kutoa taarifa ya kumseidia kuona mana linaweza lisiwezekane jambo hilo..
"lakini kaka yangu, mama yangu hana kosa,.. Nadhani anataka kukuseidia wewe na maisha yako usipate tabu.. Kiukweli mimi nitakuwa mzigo kwako, mana nitakuwa mtu wa kukaa tu, sasa hio sifa ya mke itatoka wapi kama sintojishughulisha na chochote..mkubalie mama yangu ili usipate shida katika ndoa yako"
Sheby hakuamini kama atamkosa zaituni mana nia yake ni kumseidia na sheby anajua kabisa kweli hawezi kuishi nae, lakini yeye anataka kumseidia kuona tena,..
"sawa, naona familia yote mpo pamoja.. Basi nakwenda.... Lakini pale barabarani sitaki kuluona tena, kama ni hio pesa unayopata pale mimi nitakupa mara mbili yake kila siku"
Sasa kumbe wakati mama alikuwa anasikia kila kitu,.. Yaani mwanzo mwisho mama kasikia...
"lakini kaka, kwanini nikupe kazi ambayo haikuhusu... Kama mama yangu kakataa basi"
"kwasababu nilikuwa na nia ya kukuseidia, basi nitaendelea kukuseidia hata kama mumekataa... Kwaheli"
Sheby alitoka lakini akiwa kakasirika sana, yaani hata hamu hana....

Neno Moja Nataka nizungumze na wewe Asubuhi ya leo ni hivi.
Pesa huwa inatabia ya Kuficha Upendo. 



poa niaje mkuu?!