Makapuku Forum

....nitajua wapi sasa. Si unajua mimi huwa wa mwisho kuelewa humu ndani?

Huwa hawachagui" Mimi nilichagua mbona, ila ilikuwa std four yaani la nne. Sikufaulu kuendelea baada ya hapo
Umerudi tena baki bencha eeeh inatakiwa ukae mbele ili ucpitwe na mapya
 
Nakusalimia pia anko. Mbona sasa hujarudi kama ulivyoahidi maana nina hela za makinikia hapa pub tunakusubiri na anko mkubwa
Anko kuna mambo nayaweka sawa si unajua nshakuwa mbobezi wa hizi mambo vile ulinifundisha na akili ya kuzaliwa naitafuta moshi road
 
Reactions: Obe
....nitajua wapi sasa. Si unajua mimi huwa wa mwisho kuelewa humu ndani?

Huwa hawachagui" Mimi nilichagua mbona, ila ilikuwa std four yaani la nne. Sikufaulu kuendelea baada ya hapo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…