Makapuku Forum

Makapuku Forum

2e57a09c313fb49ffab05e7d27a69025.jpg
 
Tuombe


Bwana Yesu asante kwa ljumaa njema ya leo.

Asante kwa ulinzi wako kwetu Mungu Mkuu

Umetulinda Jehova
Bwana wa majeshi

Ni wengi walitamani kuiona hii siku lakini hawakuweza kufika.

Tunaomba Toba kwa yote tuliyokukosea..ututurehemu twakusihi.

Baba siku ya leo ni siku ambayo wengi wanakuwa ktk maombi

Mungu ninakuomba ktk Jina la Yesu Kristo Maombi yetu Bwana yakawe ni manukato mazuri mbele zako.

Kumbuka wenye shida mbali mbali
Taabu na mateso na uchungu wa kila aina EeeMungu ukawakumbuke

Angalia ndoa ambazo hazina amani wala furaha

Mungu warudishie upendo wao wa kwanza

Ambao hawajakujua wewe Mungu wa kweli katika Yesu Kristo Bwana ukawaokoe.
Kumbuka wamama wanaohitaji Watoto
Bwana ukafungue matumbo yao.
Wanafunzi, wagonjwa ,Yatima ,wagane na wajane
Wakumbuke Yesu

Nimeomba haya nikiamini yamekuwa ni katika Jina la Yesu Kristo wa Nazareth
Amina aaaa.!!!!!.

SIKU NJEMA WAPENDWA
 
Tuombe


Bwana Yesu asante kwa ljumaa njema ya leo.

Asante kwa ulinzi wako kwetu Mungu Mkuu

Umetulinda Jehova
Bwana wa majeshi

Ni wengi walitamani kuiona hii siku lakini hawakuweza kufika.

Tunaomba Toba kwa yote tuliyokukosea..ututurehemu twakusihi.

Baba siku ya leo ni siku ambayo wengi wanakuwa ktk maombi

Mungu ninakuomba ktk Jina la Yesu Kristo Maombi yetu Bwana yakawe ni manukato mazuri mbele zako.

Kumbuka wenye shida mbali mbali
Taabu na mateso na uchungu wa kila aina EeeMungu ukawakumbuke

Angalia ndoa ambazo hazina amani wala furaha

Mungu warudishie upendo wao wa kwanza

Ambao hawajakujua wewe Mungu wa kweli katika Yesu Kristo Bwana ukawaokoe.
Kumbuka wamama wanaohitaji Watoto
Bwana ukafungue matumbo yao.
Wanafunzi, wagonjwa ,Yatima ,wagane na wajane
Wakumbuke Yesu

Nimeomba haya nikiamini yamekuwa ni katika Jina la Yesu Kristo wa Nazareth
Amina aaaa.!!!!!.

SIKU NJEMA WAPENDWA
Amen,barikiwa mpendwa
 
Zaburi 136

1 Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

11 Aliwatoa Waisraeli katikati yao(Wamisri); Kwa maana fadhili zake ni za milele.

12 Kwa mkono hodari na mkono ulionyoshwa; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

13 Yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

14 Akawavusha Israeli katikati yake; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

15 Akamwangusha Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

SIKU NJEMA MBARIKIWE
Amen, ubarikiwe mama mchungaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom