moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 8,040
- 16,870
AaaahTetra si wa kiume
Embu muondolee upweke mwenzio bwanaWivuuuu shem wangu ana moyo mjue
Wiki hii tumehamia congo eeeh,hvi binamu baba mchuchu Werrason amejichimbia wapi
Zaburi 136
Bless uUsiku mwema wakuu.
Muziki: Wapi Noah Zetu
Kwanza hapa nina furaha sana maana ninaanza kwa kukusalimia Kapuku wewe mheshimika na kisha nakujulisha tu siku yangu ilikuwa nzuri, sijui wewe siku yako ilikuwaje lakini ile kukuona tu hapa basi najua kabisa uko poa.
Hivi mnakumbuka, sijui kama niliwaambia, baada ya anko kuninunulia simu aliitwa kimyakimya kwenye ile kamati ya makinikia na mnavyomjua anko tena badala ya kumanikia yeye akachikichia na CM. Nisikuchoshe, alichosema ni kuwa kila mmoja atapata Noah nami nikajichagulia kabisa rangi ya hudhurungi na nikaenda veta kusomea udereva na cheti nikapata nina C tatu. Sasa ninamtafuta anielekeze je Noah yangu nitaipataje?
Muziki sasa, juma la kicongo linaendelea. Mniwie radhi Niko busy natengeneza uwanja wa kupaki Noah yangu.
Good morning
Wananichanganya![]()
![]()
![]()
kulikoni tena jomon
Amina mamaZaburi 136
1 Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema; Kwa maana fadhili zake ni za milele.
11 Aliwatoa Waisraeli katikati yao(Wamisri); Kwa maana fadhili zake ni za milele.
12 Kwa mkono hodari na mkono ulionyoshwa; Kwa maana fadhili zake ni za milele.
13 Yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.
14 Akawavusha Israeli katikati yake; Kwa maana fadhili zake ni za milele.
15 Akamwangusha Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.
SIKU NJEMA MBARIKIWE![]()