BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Jichekee na wewe
Kukuona tu moyo unafarijika baraka zako
SawaJichekee na wewe
Muziki: Wapi Noah Zetu
Kwanza hapa nina furaha sana maana ninaanza kwa kukusalimia Kapuku wewe mheshimika na kisha nakujulisha tu siku yangu ilikuwa nzuri, sijui wewe siku yako ilikuwaje lakini ile kukuona tu hapa basi najua kabisa uko poa.
Hivi mnakumbuka, sijui kama niliwaambia, baada ya anko kuninunulia simu aliitwa kimyakimya kwenye ile kamati ya makinikia na mnavyomjua anko tena badala ya kumanikia yeye akachikichia na CM. Nisikuchoshe, alichosema ni kuwa kila mmoja atapata Noah nami nikajichagulia kabisa rangi ya hudhurungi na nikaenda veta kusomea udereva na cheti nikapata nina C tatu. Sasa ninamtafuta anielekeze je Noah yangu nitaipataje?
Muziki sasa, juma la kicongo linaendelea. Mniwie radhi Niko busy natengeneza uwanja wa kupaki Noah yangu.
Muziki: Wapi Noah Zetu
Kwanza hapa nina furaha sana maana ninaanza kwa kukusalimia Kapuku wewe mheshimika na kisha nakujulisha tu siku yangu ilikuwa nzuri, sijui wewe siku yako ilikuwaje lakini ile kukuona tu hapa basi najua kabisa uko poa.
Hivi mnakumbuka, sijui kama niliwaambia, baada ya anko kuninunulia simu aliitwa kimyakimya kwenye ile kamati ya makinikia na mnavyomjua anko tena badala ya kumanikia yeye akachikichia na CM. Nisikuchoshe, alichosema ni kuwa kila mmoja atapata Noah nami nikajichagulia kabisa rangi ya hudhurungi na nikaenda veta kusomea udereva na cheti nikapata nina C tatu. Sasa ninamtafuta anielekeze je Noah yangu nitaipataje?
Muziki sasa, juma la kicongo linaendelea. Mniwie radhi Niko busy natengeneza uwanja wa kupaki Noah yangu.
Sawa shem mambo ya probalilty of events to occur nd not to occurEbu usinikatishe tamaa shem niache
Ung'eng'e wenyewe una lafudhi ya kusukumaMkulu leo anabonga ung'eng'e![]()

Wiki hii tumehamia congo eeeh,hvi binamu baba mchuchu Werrason amejichimbia wapi







akikujibu niite mke mwee
Ndo tusaidianeee sasa shem
Jamani nyie warembo mkuje mm sio lee empire
