Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Wapi Noah Zetu

Kwanza hapa nina furaha sana maana ninaanza kwa kukusalimia Kapuku wewe mheshimika na kisha nakujulisha tu siku yangu ilikuwa nzuri, sijui wewe siku yako ilikuwaje lakini ile kukuona tu hapa basi najua kabisa uko poa.

Hivi mnakumbuka, sijui kama niliwaambia, baada ya anko kuninunulia simu aliitwa kimyakimya kwenye ile kamati ya makinikia na mnavyomjua anko tena badala ya kumanikia yeye akachikichia na CM. Nisikuchoshe, alichosema ni kuwa kila mmoja atapata Noah nami nikajichagulia kabisa rangi ya hudhurungi na nikaenda veta kusomea udereva na cheti nikapata nina C tatu. Sasa ninamtafuta anielekeze je Noah yangu nitaipataje?

Muziki sasa, juma la kicongo linaendelea. Mniwie radhi Niko busy natengeneza uwanja wa kupaki Noah yangu.

 
Muziki: Wapi Noah Zetu

Kwanza hapa nina furaha sana maana ninaanza kwa kukusalimia Kapuku wewe mheshimika na kisha nakujulisha tu siku yangu ilikuwa nzuri, sijui wewe siku yako ilikuwaje lakini ile kukuona tu hapa basi najua kabisa uko poa.

Hivi mnakumbuka, sijui kama niliwaambia, baada ya anko kuninunulia simu aliitwa kimyakimya kwenye ile kamati ya makinikia na mnavyomjua anko tena badala ya kumanikia yeye akachikichia na CM. Nisikuchoshe, alichosema ni kuwa kila mmoja atapata Noah nami nikajichagulia kabisa rangi ya hudhurungi na nikaenda veta kusomea udereva na cheti nikapata nina C tatu. Sasa ninamtafuta anielekeze je Noah yangu nitaipataje?

Muziki sasa, juma la kicongo linaendelea. Mniwie radhi Niko busy natengeneza uwanja wa kupaki Noah yangu.


Wiki hii tumehamia congo eeeh,hvi binamu baba mchuchu Werrason amejichimbia wapi
 
Muziki: Wapi Noah Zetu

Kwanza hapa nina furaha sana maana ninaanza kwa kukusalimia Kapuku wewe mheshimika na kisha nakujulisha tu siku yangu ilikuwa nzuri, sijui wewe siku yako ilikuwaje lakini ile kukuona tu hapa basi najua kabisa uko poa.

Hivi mnakumbuka, sijui kama niliwaambia, baada ya anko kuninunulia simu aliitwa kimyakimya kwenye ile kamati ya makinikia na mnavyomjua anko tena badala ya kumanikia yeye akachikichia na CM. Nisikuchoshe, alichosema ni kuwa kila mmoja atapata Noah nami nikajichagulia kabisa rangi ya hudhurungi na nikaenda veta kusomea udereva na cheti nikapata nina C tatu. Sasa ninamtafuta anielekeze je Noah yangu nitaipataje?

Muziki sasa, juma la kicongo linaendelea. Mniwie radhi Niko busy natengeneza uwanja wa kupaki Noah yangu.


Asante ankooo

Mimi tena veta bado wananizungusha kunipa cheti nikafate leseni yangu wakati leo nimesikia mambo ya makinikia yamekwiva na watendaji kesho wanaandikisha wananchi na chaguo la kila mtu noah yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom