makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,744
- 103,668
Kumbe shunie unakimanya eehh...Ndaga fijo![]()
Kumbe shunie unakimanya eehh...Ndaga fijo![]()
Mie hata sielew yananitokaga tuu..hivi uliwaza nini lakini

Ulale unono kumbatia mito yako mke mweeNgoja nilale mie,muwe na ucku mwema
Kidogo kidogo nakimanya makaKumbe shunie unakimanya eehh...
Mie hata sielew yananitokaga tuu..![]()
![]()
![]()
Husna si namsingizia umbea, unaa, upashkuna, uchakubimbi, ndio na bi tukinao likanitoka..![]()
![]()
![]()








Nawe pia shemeji...Ngoja nilale mie,muwe na ucku mwema
MBARIKIWE USIKU MWEMA
Yule demu ilibidi nianze mie ujue, we ukaniambia unampenda zaid.. nikaona kutokana we mwanangu yaani, katka top 3 ya wanangu umo, nikakuachia..
Nikapata mtoto wa kihausa, aisee nahis yule ni mmakonde wa naijeri..![]()
![]()
![]()
Woyooooooooooo mama yangu mie ukuje huku jaman usikie salaam za maka anakupenda sana me ndio mtoto wake ujue nikikataa mie ujue kwa mama hupiti mama ananisikiliza sana lakini usisahau kumpa maflower huo ndio ugonjwa wake sana
Kwa ajili yake ntamtengenezea bustani kabisa, mwambie aende shule ya msingi mjimwema pale nimemuwekea oda...
Hii ni rasharasha tuuu..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
....mungu hawezi kujishughulisha na hiki unachotaka kunifanyia. Nakuangalia tu.Km ningekuwa nauwezo.. ningemuombea rain of flowers toka kwa mungu wa mbinguni, mwenye kumiliki kila kitu..
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Woyooooooooo jaman mama kapata baba mama kapata baba na baba kapata mama woooozaaaa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
mama yake shunie jaman hatimaye kapata babe bada ya baba angu wa mwanzo mukongo kukimbia familia
maka baba karibu me ndio binti wa mama mchuchu ukipita kwangu ujue mama hana cha kusema kabisa
Binamu obeee ukujeee sijasahau nataka orugambo jaman una ninii we mzee
I dnt deserve kuwa mshua wako shunie...
So sorry kwa hilo, i will alwayz lv n care u lakin si kuwa mzee wako, i guess mama yako anahitaji mtu best zaid, am nt that man shunie, nimekuwa mtu mbaya huko nyuma, nimefanya kila ubaya..
![]()
![]()
![]()
Obe.. kula kilaji chochote, cha bei yoyote, ntaiba hata kwenye mkoba wa mama ntalipa..![]()
![]()
..
Aisee hii nyimbo baada ya dear mama, keap ya head up, inafata hii ngoma, naipenda mpaka kero..
Much respect kwako mkuu, i salute you mopao obe
Kweli kabisa usingemfaa yaan mama she's more than perfect Mungu azidi tu kuniwekea jaman mama mchuchu wangu![]()
![]()
....Husna aachwe, asisumbuliwe.Mie hata sielew yananitokaga tuu..![]()
![]()
Husna si namsingizia umbea, unaa, upashkuna, uchakubimbi, ndio na bi tukinao likanitoka..![]()
![]()
![]()
Duh!! Kisa na mkasa!!....bora umejisalimisha! Nilikuwa naelekea kwa fundi mmoja kaagiza Nazi, mchele, hiriki, mdalasini, pilipili manga, kuku jogoo mkubwa mwekundu, karafuu, vitunguu swaum na ndizi mbivu

Mie ni mpenz wa lyrics kali, humu mr slim shady alitulia hasa hata kuflow nako kama sio yeye vile..You are welcome buddy! Ila mimi sio mopao, huyo ni wewe maana umedhamini mapapers na muziki.
Seriously, hili goma limetulia sana ujue imebidi nilisikize (Mimi si mpenzi sana wa rap) nimependa lyrics na jamaa kajituliza kwenye kughani.
Asante kwa chaguo zuri mdau