Makapuku Forum

Makapuku Forum

Woyooooooooo jaman mama kapata baba mama kapata baba na baba kapata mama woooozaaaa mama yake shunie jaman hatimaye kapata babe bada ya baba angu wa mwanzo mukongo kukimbia familia maka baba karibu me ndio binti wa mama mchuchu ukipita kwangu ujue mama hana cha kusema kabisa
Wajua naogopa ya kina shululu.. bora nibaki singo kuliko bongo movie
 
Nikirud dar tuu, hii ndio mission yangu..

Bi tukinao atanikomaje.
husna ukuje umuone bi tukinao
f5aaca5a794be65ea663b403e847e066.jpg
 
I dnt deserve kuwa mshua wako shunie...

So sorry kwa hilo, i will alwayz lv n care u lakin si kuwa mzee wako, i guess mama yako anahitaji mtu best zaid, am nt that man shunie, nimekuwa mtu mbaya huko nyuma, nimefanya kila ubaya..

ingekuwa bongo movie tu jaman kama kina shululu sio kweli ujue yaan umeongea kwa huruma maka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom