Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki wa Mhisani

Nimerejea tena na nimekuja kwa sababu moja kubwa, udhamini umefikia kiwango cha uhisani, yaani makaveli10 kadhamini magazeti na muziki. Hii ni level nyingine yaani katoka kuwa pedeshee hadi Bill Gates.

Na wimbo aliouhisani ni Mockingbird, wimbo mzuri kabisa kusikiza na kama unapenda mashairi yaliyopangika bila zile fakafaka za vijana nyie basi huu ndo utaupenda. Ukizitaka zile sikiza The Storm


Obe.. kula kilaji chochote, cha bei yoyote, ntaiba hata kwenye mkoba wa mama ntalipa.. ..

Aisee hii nyimbo baada ya dear mama, keap ya head up, inafata hii ngoma, naipenda mpaka kero..

Much respect kwako mkuu, i salute you mopao obe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom