Makapuku Forum

Makapuku Forum

Basi kwa heshima na taadhima naomba hii iwe special kwake.. mwambie makaveli anampenda kichiz
Woyooooooooooo mama yangu mie ukuje huku jaman usikie salaam za maka anakupenda sana me ndio mtoto wake ujue nikikataa mie ujue kwa mama hupiti mama ananisikiliza sana lakini usisahau kumpa maflower huo ndio ugonjwa wake sana
 
Woyooooooooooo mama yangu mie ukuje huku jaman usikie salaam za maka anakupenda sana me ndio mtoto wake ujue nikikataa mie ujue kwa mama hupiti mama ananisikiliza sana lakini usisahau kumpa maflower huo ndio ugonjwa wake sana
Km ningekuwa nauwezo.. ningemuombea rain of flowers toka kwa mungu wa mbinguni, mwenye kumiliki kila kitu..
 
Woyooooooooo jaman mama kapata baba mama kapata baba na baba kapata mama woooozaaaa mama yake shunie jaman hatimaye kapata babe bada ya baba angu wa mwanzo mukongo kukimbia familia maka baba karibu me ndio binti wa mama mchuchu ukipita kwangu ujue mama hana cha kusema kabisa
 
Original cha zamani maka mambo hayo eloko oyo acha buana mambo ya kuzungusha bunooo kama we tena bunoo gumu upambane na hali yako tu shem wangu nisamehe tu jaman
We buno laini hili km limewekwa gliselini..

Ni cha zamani ila masikion mwangu kila siku ni km imetoka jana, sijawahi ichoka, katik cm yangu kuna nyimbo chache muhimh tu, hiyo ni moja wapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom