Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Woyooooooooooo mama yangu mie ukuje huku jaman usikie salaam za maka anakupenda sana me ndio mtoto wake ujue nikikataa mie ujue kwa mama hupiti mama ananisikiliza sana lakini usisahau kumpa maflower huo ndio ugonjwa wake sanaBasi kwa heshima na taadhima naomba hii iwe special kwake.. mwambie makaveli anampenda kichiz![]()
![]()
![]()
maka baba karibu me ndio binti wa mama mchuchu ukipita kwangu ujue mama hana cha kusema kabisa
