Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
😱😀😀😀😀
....hiyo barua iambatane na cheti cha kuhitimu mafunzo ya karate na judo na mbio za marathon

😱😀😀😀😀
....hiyo barua iambatane na cheti cha kuhitimu mafunzo ya karate na judo na mbio za marathon

Huhuhuuu binamu uko makini.....first thing first, ulimaanisha inspired, right.
Kitu cha pili kabla ya cha kwanza, don't let the "inspiration" raise your sentiments, she is taken. FYI
Kama kawapata wawili wote wa kwangu haendi kokote si kwa teller wala kwa mdogo wa mama ashura hivi binamu anko wako kweli alikwambia habari za kuku
akileta wengi naomba unigawie na mm
Mke mwee nitakuletea miguu na vichwa![]()
![]()
akileta wengi naomba unigawie na mm
ObeBinamu obeeee naomba ukuje uniwekee urugambo jamaan![]()
njoo uweke urugambo tucheze cieAaaah me nataka mzima tukajisonsomole na akina wawili jamaniMke mwee nitakuletea miguu na vichwa
Binamu ukuje tu jamanObe![]()
![]()
njoo uweke urugambo tucheze cie
Hapana mke mwee basi nitakuongezea shingo sawa mke mweeAaaah me nataka mzima tukajisonsomole na akina wawili jamani
Woyooooooooo mama yangu anapenda na maua ujue maka ebu muwekee maua hapo
Mopao obe........first thing first, ulimaanisha inspired, right.
Kitu cha pili kabla ya cha kwanza, don't let the "inspiration" raise your sentiments, she is taken. FYI

Nadhan cha mbio za marathoni kinatosha..😱😀😀😀😀
....hiyo barua iambatane na cheti cha kuhitimu mafunzo ya karate na judo na mbio za marathon
Ninavyomuamin hata akisema mchanga mtamu mie nalamba....unatafuna na chumvi unalamba

Papa hii hii ya gigy money au papa yupi huyo!?Je wajua samaki aina ya Papa huhisi kudondoka katika Bahari tone la damu akiwa umbali wa kilomita 4
So chukua hatua kama uko katika Bahari na Bahari hiyo ina Papa
Papa ni mmoja wa samaki hatari mno baharini
Hapana.. miss ya tz ni kichefu chefu......itakiwa miss Tanzania
We c una ofisi ya kuprint mabngo, mfanyie moja for freeLabda bango kitita litasaidia
Tupo mpendwa wetu..Jamani mpo wapendwa wangu
Kwa kweli leo itakuwa siku bomba kwangu humu kfMockingbird ni ngoma nzuri, jina hili kalitoa kwenye kitabu kinaitwa hivyo. Kizuri sana.
Nitafanya hivyo mdau maana wewe ndo mopao, umedhamini magazeti na utadhamini muziki