Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
WoooooooozaaaaaaaNinavyomuamin hata akisema mchanga mtamu mie nalamba![]()
![]()
![]()
WoooooooozaaaaaaaNinavyomuamin hata akisema mchanga mtamu mie nalamba![]()
![]()
![]()
Acha nichekeee tu hakuna namna ingine life's too short maka![]()
![]()
![]()
Nizoee wewe utavunjika mbavu shaur yako, bora upungukiwe damu ntakupa, bora figo naweza nikakupa.. ila mbavu hazina donation!!![]()
![]()
![]()
Asanteeee binamu yanguMuziki: Ulikuwa Hujui
Ninakusalimia kwa heshima kubwa Kapuku mheshimika, na kisha baada ya kukusalimia (nikiamini kabisa umerudisha salamu, maana salamu sio Salum kusalimiana) ninakuambia mimi nina adabu sana na kwa kuonesha adabu zangu sitakuuliza siku yako ilikuwaje. Nikiuliza ukajibu nami nikauliza kwanini siku yako ilikuwa ilivyokuwa utanichukia na utaona sina adabu. Toto baya kwako zuri kwa mama yake.
Kiukweli huwa ninajisikia amani sana ninapokuwa humu maana hakuna ninachokosa, well, vipo navyokosa, lakini kama ni maarifa tu, nayapata sana na hapo sijaongelea burudani maana KF kuna kila kitu na siwasifii maana nami ni timu ya Makapuku, wanaoingia na kutoka wanazidiwa na wanaokuja na kuweka makazi.
Muziki sasa, nilisema hili ni wiki la Kicongo na sina namna maana ndivyo nilivyotangaza na nikaweka bango ambalo anko wangu kajisahau kulibandika akaondoka nalo kwenda kutekwa. na nikitaja alikoelekea itakuwa msala humu na sitaki litokee hilo maana wewe Kapuku unayenisoma sasa unaifanya sehemu hii kuwa nzuri na ya kuvutia.
mambo ya bunooooooo mambo ya eloko oyo acha nimchezee baba d nitarudi
Cha kina p squareTunakigonga cha kina nwankwo kanu na okocha
Usinikumbusheee watamu waleTuache kidogo, tunakumbuka tulipoenda kupigana vita ya biafra.. lyon alipata demu wa kiyoruba..
Shem ebu niambie jaman unacheka nini jaman hata hiyo nyimbo sijui kama nitawekewa mimi na binamu obe

![]()
![]()
![]()
Nizoee wewe utavunjika mbavu shaur yako, bora upungukiwe damu ntakupa, bora figo naweza nikakupa.. ila mbavu hazina donation!!![]()
![]()
![]()

Kumbe!![]()
![]()
![]()
Nizoee wewe utavunjika mbavu shaur yako, bora upungukiwe damu ntakupa, bora figo naweza nikakupa.. ila mbavu hazina donation!!![]()
![]()
![]()

Chinekaa inoooooo ....gudiivingiiiiiyoooooChineka igwe!!
![]()
![]()
![]()
Halaf binamu hiyo nyimbo ya fally eloko oyo mama yangu anaipenda mama mchuchu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Igwe aguba igogoroChineka igwe!!
![]()
![]()
![]()
Asanteeee binamu yangu![]()
mambo ya bunooooooo mambo ya eloko oyo acha nimchezee baba d nitarudi

Umewaza nini kwanza ?Shem ebu niambie jaman unacheka nini jaman hata hiyo nyimbo sijui kama nitawekewa mimi na binamu obe![]()
Husobeeeeyooooo guruguruuoooohIgwe aguba igogoro
Muziki wa Mhisani
Nimerejea tena na nimekuja kwa sababu moja kubwa, udhamini umefikia kiwango cha uhisani, yaani makaveli10 kadhamini magazeti na muziki. Hii ni level nyingine yaani katoka kuwa pedeshee hadi Bill Gates.
Na wimbo aliouhisani ni Mockingbird, wimbo mzuri kabisa kusikiza na kama unapenda mashairi yaliyopangika bila zile fakafaka za vijana nyie basi huu ndo utaupenda. Ukizitaka zile sikiza The Storm
kutoka pedeshee mpaka .....

...kwanza, hajambo lakini? Fikisha salamu zangu kwake
hv ile safari ya kigamboni iliishia wapi?!