Makapuku Forum

Slim shady..bongea rapper kwa marapper wa sasa baada ya nas kwa mimi..

Napenda ngoma zake nyingi ila mockingbird inanikosha ubongo wangu.

Obe kwa hisani yako leta hiki kitu pasina kuingiliana na ratiba zako.
Mockingbird ni ngoma nzuri, jina hili kalitoa kwenye kitabu kinaitwa hivyo. Kizuri sana.

Nitafanya hivyo mdau maana wewe ndo mopao, umedhamini magazeti na utadhamini muziki
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…