makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,754
- 103,692
Nawe pia mdau.Usiku mwema wadau.
Nawe pia mdau.Usiku mwema wadau.
Mbona nishatulia mkuu.. sina mambo hayl tena..Dooh...
Kazi kweli ! Ila nahisi kuna muda utafika utahitaji kubadilika..utahitaji mke wakati huo
Time zone is all what matters..! Muda wako bado ...ila kuwa makini tuu mtu wangu..
Mimba sio ishu! Ishu ni magonjwa..
Mungu akubariki mkuu.Mbona nishatulia mkuu.. sina mambo hayl tena..
HaHahaaa.Huwez amin tukjumlisha hawafiki hata watano, tatzo sijawahi penda watoto, magoma yangu ilikuwa ni wale walioniacha umri tena wengine parefu tu, kuwa na mtu age moja nilikuwa naona km najidhalilisha sijui najitukanisha.. ni wachache saana tulikuwa umri tunaenda. Like huyo mtoto wa k/koo

Dah.. ulivyoniita bablai umenikumbusha jamaa mmoja tena humu humu kf alikuwa anapenda kuniita bablai..![]()
Bablai ulikuwa na masaibu kama Madenge wewe..
Stori za mimba sizikie kwa jirani tuu ! Hiyo kitu ilikuwa ni stress..! Sasa unajielewa hata ukiwapa 10 hakuna unalea tuu (Kutoa mimba ni dhambi).
All in All if you a believer ! Pray for changes.

Amin mkuuMungu akubariki mkuu.
Muda ukifika naamini utaoa pia.
Daah! Pole sana Arfuu..Dah.. ulivyoniita bablai umenikumbusha jamaa mmoja tena humu humu kf alikuwa anapenda kuniita bablai..
We acha tu, na mie nshapata cha kuwahadithia wajukuu..
Mimba stres zake sio poa, nakumbuka mimba ya huyu mwanangu nilikuwa cha 6, halaf kibaya zaid zilikuja 2 kwa mpigo, arifu full stress kitabu hakiendeki, unajua tena maPCM na stress
Kutoa mimba hapana, hii ilichangia nkapata mtoto kwa kukataa kutoa mimba zote 2. Ila yule mmoja alikuja kuniambia imetoka yenyewe, kwa kipindi kile niliona afadhali kwa mkasa nilionao, hata sikutaka kumjaji sana.
Mpaka ye akajishtukia eti mbona mimba imetoka halaf sioneshi kuumizwa.. kumbe hakujua nyuma ya pazia nina msala mwingine![]()
![]()
![]()
Kaolewa..HaHahaaa.
Mtoto wa kanjibahi..![]()
Yuko wapi siku hizi?
Makaveli10..Kaolewa..
Ujana mambo mengi..Daah! Pole sana Arfuu..
Ndio pata potea za ujana tuu bablai.
Pamoja mkuu, usiku mwema kaka..Makaveli10..
Ngoja nikalale mkuu.
Will check you tommorow mkuu.
Hahaa.. mwambie lee akulete kigamboni siku moja..Na ninavyopenda kucheka woiiiii
Kaishanisaidia sana, mpaka sasa namshukuru, najihesabia kama nimepona, maana nishaacha huo upuuzi mie.Mungu akusaidie na magonjwa katika harakati zako za kuwakula totoz
Mika 6:8 inasema "Ee mwanadamu, yeye amekuonyesha yaliyo mema; na BWANA anataka nini kwako, ila kutenda haki, na kupenda rehema, na kwenda kwa unyenyekevu na Mungu wako."UbarikiweWakuu.
Muwe na usiku mwema.
Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu Bwana Mungu wa Majeshi Asante kwa Upendo wako na kutuamsha tukiwa wazima na Afya njema,wapo watu wengi walitamani kuiona siku ya leo Baba hawajaweza ,tunatoa Sifa ,Shukurani,Heshima na Utukufu kwa Neema hii.

Shemu usinambie utafiti wako bado unaendeleaa wakat nshakuweka waziUsiniambie haunywi pombe kabisa basi ndio mana mnaelewana na shemeji yangu
Ameni mama mchungajiMtakatifu Mtakatifu Mtakatifu Bwana Mungu wa Majeshi Asante kwa Upendo wako na kutuamsha tukiwa wazima na Afya njema,wapo watu wengi walitamani kuiona siku ya leo Baba hawajaweza ,tunatoa Sifa ,Shukurani,Heshima na Utukufu kwa Neema hii.
Tunakuja Mbele zako tukikukabidhi siku ya leo ya Jumatano 11 Oktoba 2017 ikawe njema na ya kukupendeza.
Tunaomba toba kwa yote tuliyokosea.
Tuimarishe ili tukupende,tukuheshimu na kuishi maisha ya kukupendeza wewe tu.
Tunaikabidhi Nchi yetu iwe na Amani.
Tunazikabidhi Familia zetu zidumishe Upendo na Mshikamano.
Tunawakabidhi wagonjwa na wenye shida mbalimbali majumbani na mahospitalini Baba ukawaponye miili na roho pia.
Baba wasafiri wote majini,nchi kavu,angani ukawe nao waende na kirudi salama.Na wanaoacha familia Baba mwema zikawe salama.
Watoto wetu popote walipo makazini na mashuleni ukawasimamie wakawe vichwa si mikia wafanye mambo yote kwa ufanisi.
Baba Mungu tunazikataa kazi zote za shetani zisipate nafasi katika maisha yetu tunazivunja katika jina la Yesu tunamwaga damu ya Yesu ikatakase kila pando na kuling'oa Mfalme wa Amani.
Tunakabidhi kazi zote za mikono yetu zikapate kibali mbele yako tuingiapo na kutoka utubariki.
Baba Asante kwa Matendo yako Makuu yasiyo na mwisho,tunauona ukuu wako siku zote za maisha yetu tunasema Asante Baba na tunaomba uzidi kutuimarisha imani zetu zipande kuwa viwango vya juu ili tuweze kushudia matendo yako siku hadi siku.Roho Mtakatifu tutie nguvu.
Nakushukuru maana utatenda yote sawa na mapenzi yako
Katika jina la Yesu naomba naamini na nashukuru Amen
SIKU NJEMA WAPENDWA![]()