makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,768
- 103,711
Azid kunisaidia, maana mpaka hapa kanisaidia sana..Mungu akusaidie nadhiri yako usije ivunja makayaan hufananiii pamoja na kuwa sikujui
Bora hunijui, ungenijua ndio kabisa usingeamin, kama mungu atajaalia mwaka m1 tukaonana basi kauli yako itakuwa ni hii.. "eti, makaveli ww ndio hunywi pombe, siamin"

yaan hufananiii pamoja na kuwa sikujui



