Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Shunie ndio mambo yako haya eeehh..Kunywa dompo
Usiniambie haunywi pombe kabisa basi ndio mana mnaelewana na shemeji yanguMie napenda juice fresh, sasa kwa mazingira haya tuliyoonana hatuwez kupata, niagizie chochote mradi kisiwe na kilevi tu, kama ikiwa bavaria itakuwa poa zaidi.![]()
![]()
SawaKesho nitaamka nimechoka.
Ngoja nipige ViCeroy tuu
Ujanja wangu wote shunie, sinywi pombe, halaf kampani yangu o level na A level kubwa ilikuwa walevi, tena walev mbwa..Usiniambie haunywi pombe kabisa basi ndio mana mnaelewana na shemeji yangu
Aiseeee basi hufananii ujueUjanja wangu wote shunie, sinywi pombe, halaf kampani yangu o level na A level kubwa ilikuwa walevi, tena walev mbwa..
Mkuu kumbe unakata masanga eeehh..Kesho nitaamka nimechoka.
Ngoja nipige ViCeroy tuu
Kiduchu tu huwa ananinyweshaKaisha kuambukiza..![]()
![]()
![]()
Huyo chapombeMkuu kumbe unakata masanga eeehh..
Napasha akili tuu...mimi sio mnywaji kihivyo.Mkuu kumbe unakata masanga eeehh..
Sio wewe tu, hata watu wanaonijua hawaamin, wanajua mie napiga maji ya dhahabu, ila ni kitu ambacho mwenyewe niliweka nadhiri toka kitambo kwamba mie sintakunywa pombe..Aiseeee basi hufananii ujue
Haya mkuu, si tatizo saaana..Napasha akili tuu...mimi sio mnywaji kihivyo.
Mungu akusaidie nadhiri yako usije ivunja makaSio wewe tu, hata watu wanaonijua hawaamin, wanajua mie napiga maji ya dhahabu, ila ni kitu ambacho mwenyewe niliweka nadhiri toka kitambo kwamba mie sintakunywa pombe..
Halaf cha ajabu sasa nilikuwa mvuta bangi mzur tuu, nmevuta toka form 2 mpaka cha 6, na nimekuja kuacha mwenyewe, wakat nakarbia kuacha ndio watu wanakuja kushtuka kama mie ni mvutaji hawakuamin kabisa, kwa jinsi nilivyo mtaan, sasa nikimwambia mtu mie sinywi pombe ndio kabisa, yuko radhi nimkate kofi ila si kumwambia sibugi maji hago.
yaan hufananiii pamoja na kuwa sikujuiSawa mkuu..Haya mkuu, si tatizo saaana..
Naleftije etiiiiWewe shunie utaleft kapuku sasa hivi..
Mimi chapombe?