[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]I love you too, yaani kwa namna ninavyokupenda maelezo tu na vitendo havitoshi kueleza. Hapa ili ijitosheleze nawaachia wanaoumizwa na sisi ndo waeleze
Pole[emoji4]Nimecheka mpaka machozi
[emoji35]...unajua pa kunigawa, sihitaji kukukumbusha kuwa napenda kupanda pantoni
Yaani nimechekaa loh binamu huyuuMfyuuuuuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pambana na hali yako
[emoji57] [emoji57] [emoji57]Woyooooooooooooooo
[emoji35]
[emoji23]
Si ndio ulivyomwambia?!..hili cheko la kishabiki sana hadi mpendwa wangu anaweza akadhani ninataga unigawe kigamboni
Yuko mguu nje mguu ndaniKwani hutakiiiii
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Sitokii kapuku
[emoji4] [emoji4] [emoji4]Some vizuri utamuelewa tu mpendwa wako
SijuiiiNi niniii
Yeah! [emoji4] [emoji4]Ndio mpendwa wako huyo
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji106]I love you too, yaani kwa namna ninavyokupenda maelezo tu na vitendo havitoshi kueleza. Hapa ili ijitosheleze nawaachia wanaoumizwa na sisi ndo waeleze
teh teh mwanzishaj wa hili bandko heshima kwako na ss tupat pa kutambia ebo[emoji15] [emoji15] sio kila mar mkongwe hee kisa wakt wa founder et alikuwepo
salute sana[emoji61]
SNIPER SHOOTER
SNIPER SHOOTER
memba mpya anaekuja kwa akasi mwenye mawazo chanya
salute kwake pia[emoji117] [emoji117] SNIPER SHOOTER
SIO KILA cku mie kulike post za wenzio tu[emoji16] [emoji16] wa mh eti ni kupita tu no ifike wakat penye umuhim kila mmoja afany kwa nafad yaje ni hayo tu waungwana
ni mm KAPUKU ASIE NA MAJIVUNO ANAJIELEWA
HESHIMA IDUMU
SNIPER SHOOTER
[emoji1] [emoji1]
NAONDKA HVO
SNIPER SHOOTER SITAKI UMAARUFU ILA NATAKA
UMASHUHURI
naaga Sniper Shooter[emoji113]
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]...najua kabisa mpenzi wangu niko moyoni kwako, nikienda kutembea nje naacha koti, kama bosi vile. Nawe uko moyoni kwangu hupotezi ladha kama ukwaju
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja aje akujibu..anko wangu alikuwa anachekea nini? Kilichomfanya acheke ni nini? Mbona mimi ninakuwaga wa mwisho kujua vitu humu ndani ilhali ninaishu humu humu jamani!!
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji106]...usihamaki mpendwa wangu. Tutaenda Zanzibar na ni lazima tupande pantoni, hapo nilikuwa namaanisha mimi na wewe tunaenda Znz kwa pantoni ya Azam
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja aje akujibu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] wakikugawa ntakupeleka kg...unajua pa kunigawa, sihitaji kukukumbusha kuwa napenda kupanda pantoni