I love you too, yaani kwa namna ninavyokupenda maelezo tu na vitendo havitoshi kueleza. Hapa ili ijitosheleze nawaachia wanaoumizwa na sisi ndo waeleze
PoleNimecheka mpaka machozi
...unajua pa kunigawa, sihitaji kukukumbusha kuwa napenda kupanda pantoni
Yaani nimechekaa loh binamu huyuuMfyuuuuuuuupambana na hali yako
Si ndio ulivyomwambia?!..hili cheko la kishabiki sana hadi mpendwa wangu anaweza akadhani ninataga unigawe kigamboni
Yuko mguu nje mguu ndaniKwani hutakiiiii
SijuiiiNi niniii
I love you too, yaani kwa namna ninavyokupenda maelezo tu na vitendo havitoshi kueleza. Hapa ili ijitosheleze nawaachia wanaoumizwa na sisi ndo waeleze
teh teh mwanzishaj wa hili bandko heshima kwako na ss tupat pa kutambia ebosio kila mar mkongwe hee kisa wakt wa founder et alikuwepo
salute sana
SNIPER SHOOTER
SNIPER SHOOTER
memba mpya anaekuja kwa akasi mwenye mawazo chanya
salute kwake piaSNIPER SHOOTER
SIO KILA cku mie kulike post za wenzio tuwa mh eti ni kupita tu no ifike wakat penye umuhim kila mmoja afany kwa nafad yaje ni hayo tu waungwana
ni mm KAPUKU ASIE NA MAJIVUNO ANAJIELEWA
HESHIMA IDUMU
SNIPER SHOOTER
NAONDKA HVO
SNIPER SHOOTER SITAKI UMAARUFU ILA NATAKA
UMASHUHURI
naaga Sniper Shooter
...najua kabisa mpenzi wangu niko moyoni kwako, nikienda kutembea nje naacha koti, kama bosi vile. Nawe uko moyoni kwangu hupotezi ladha kama ukwaju
..anko wangu alikuwa anachekea nini? Kilichomfanya acheke ni nini? Mbona mimi ninakuwaga wa mwisho kujua vitu humu ndani ilhali ninaishu humu humu jamani!!
...usihamaki mpendwa wangu. Tutaenda Zanzibar na ni lazima tupande pantoni, hapo nilikuwa namaanisha mimi na wewe tunaenda Znz kwa pantoni ya Azam
...unajua pa kunigawa, sihitaji kukukumbusha kuwa napenda kupanda pantoni