Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jichunguze akilini kwako nn kinakutatiza then ujaribu kukipotezea
Ukiwa na msongo Wa mawazo inaweza kupelekea ukakosa usingizi
Na hatimaye ubongo wako utachoka coz utakuwa hauna muda Wa kupumzika
Na hapo sasa ndipo utakapoanza kuongea pumba
Na kuanza kujiuliza"kulikoni"

Usingizi ni muhimu kwa afya yako
Unayosema ni kweli lakin japo nakuona unaropoka kama chizi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom