Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Hongera mkuuHapana kwa kweli.. namsaidia mama muuza kupika gongo.

Hongera mkuuHapana kwa kweli.. namsaidia mama muuza kupika gongo.

Naona mnatupiana mpira hapoooHapana mie bora nkae kimya.. nisije nikakorofishana na mwanangu mwenyewe mwee

Uchiz huu anamtafuta wakat kila mtu anajua yuko marekan akamfate huko..

Ahsante mwanangu mwenyewe mweeHongera mkuu![]()
![]()
We mtafte mtu ajifanye kaibiwa mume, aende kumkodi, utafurahi na show yake, ya msami cha mtoto..Natamani kujua balaa lake

Ukiuona utaujua?Acha unaa...
Anajidai eti anajua mie najifunika shuka ya baba, sasa yeye shuka ya mshua kaijuje au ndio mpango wa kando wa faza..Chief umesemaje apo ?

Anatumia id ipi ??![]()
![]()
ndio si amejificha stoo huko
Sio redee??Eehh.. si Tunacheza basketball
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Unaonajee kamati ikaundwa tujue mali ya umma?Anajidai eti anajua mie najifunika shuka ya baba, sasa yeye shuka ya mshua kaijuje au ndio mpango wa kando wa faza..![]()
![]()
![]()
U make me smileWe unajuaje shuka ya baba, au ni side chick wake nin a.k.a mpango wa kando..![]()
![]()
![]()

Litakuwa jambo poa..Unaonajee kamati ikaundwa tujue mali ya umma?
Jichunguze akilini kwako nn kinakutatiza then ujaribu kukipotezeaNahofia ntazaa tatzo jingine.
Labda hapo hapo..Sio redee??