Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Anajidai eti anajua mie najifunika shuka ya baba, sasa yeye shuka ya mshua kaijuje au ndio mpango wa kando wa faza..![]()
![]()
![]()

Anajidai eti anajua mie najifunika shuka ya baba, sasa yeye shuka ya mshua kaijuje au ndio mpango wa kando wa faza..![]()
![]()
![]()

We waonaje, si kweli ama!?Hv ni kweli?
Vipi mbona waguna bibie?Mmmh!!
Huyu ni mwanangu mwenyewe mweeh!!Ila mshikaji mnapendeana sana na maka
Kweli maka yuko sahihi huu mwezi wakoMi mwenyewe sijui![]()
![]()
La kuvunja chaga!!!Na mm naona
Vipi zigo lipo ??
Sema ukweli au nipm nione kwanzaLa kuvunja chaga!!!
Zaburi 46:7

Hongera kwa 287 kKingereza cha nini husna, umenisomesha!!??![]()
![]()
![]()
Mijanaume icheze rede?! Ptuu...Labda hapo hapo..
Mmh! Yamekuwa hayo?!Unayosema ni kweli lakin japo nakuona unaropoka kama chizi..![]()
![]()

Rudi mwenyewe kabla sijakulipua

Nipo mshikajiRudi mwenyewe kabla sijakulipua![]()
Ukisikia kihereher na kiroho papo ndio icho saasa ngoma sio yako unaivalia kibwayaAjifunze mara ngapi.. ni muongo huyo kufuru..
