AminZaburi 131
1 BWANA, moyo wangu hauna kiburi, Wala macho yangu hayainuki. Wala sijishughulishi na mambo makuu, Wala na mambo yashindayo nguvu zangu.
2 Hakika nimeituliza nafsi yangu, Na kuinyamazisha. Kama mtoto aliyeachishwa Kifuani mwa mama yake; Kama mtoto aliyeachishwa, Ndivyo roho yangu ilivyo kwangu.
3 Ee Israeli, umtarajie BWANA, Tangu leo na hata milele.
MBARIKIWE![]()
![]()
Niko poa kabisa mkuu, za pande hizoUko poa mkuu?
Apo sawa mkuuNiko poa chief
Nilisoma sehemu.
Morning too MwifaMorning mkuu Shululu
Hilo halina ubishiSarafu imeshuka tuache siasa
Na wewe pia.View attachment 606060Asubuhi njema wadau
Na wewe pia.
Ahsante sana kwa font ferd kwa udhamini mnono wa mimi mwenyewe

Umelala kazini ??Wacha nilale sasa
Baba katika jina la Yesu Kristo tunakushukuru umetuamsha salama tunalitukuza jina lako Takatifu .Asante kwa Asubuhi njema hii ya leo ya jumanne.
Ubarikiwe sana kazi yako ni njemaView attachment 606060Asubuhi njema wadau

ubarikiwe sanaZaburi 131
1 BWANA, moyo wangu hauna kiburi, Wala macho yangu hayainuki. Wala sijishughulishi na mambo makuu, Wala na mambo yashindayo nguvu zangu.
2 Hakika nimeituliza nafsi yangu, Na kuinyamazisha. Kama mtoto aliyeachishwa Kifuani mwa mama yake; Kama mtoto aliyeachishwa, Ndivyo roho yangu ilivyo kwangu.
3 Ee Israeli, umtarajie BWANA, Tangu leo na hata milele.
MBARIKIWE![]()
![]()