Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20171010-WA0038.jpg
 
Zaburi 131

1 BWANA, moyo wangu hauna kiburi, Wala macho yangu hayainuki. Wala sijishughulishi na mambo makuu, Wala na mambo yashindayo nguvu zangu.

2 Hakika nimeituliza nafsi yangu, Na kuinyamazisha. Kama mtoto aliyeachishwa Kifuani mwa mama yake; Kama mtoto aliyeachishwa, Ndivyo roho yangu ilivyo kwangu.

3 Ee Israeli, umtarajie BWANA, Tangu leo na hata milele.


MBARIKIWE
Asante kwa neno mama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom