Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Ntawaletea kesho ili niwasalmie na twins wenuNdio
Naomba zawadi yake
Ntawaletea kesho ili niwasalmie na twins wenuNdio
Naomba zawadi yake
IlalaKaka umefufukia nchi gani?
Niliiona thread yake sehem ikimtakia T happy birthday
tunashukuru kwa taarifa ile
Asanteni![]()
![]()
tunashukuru kwa taarifa ile
EwaaaNtawaletea kesho ili niwasalmie na twins wenu
Safi tu mkuu
Vipi nawe mtazamo wako kuhusu Tupac Omar Shakur
Maana Chid Benz katuambia yupo hai na pia Suge Knight naye kasema hivyo.
VIPI KWAKO?
Utamu wake ni costant kIla utamu wa hii constant una raha yake

Hatare sanaNadhani kafufukia cuba..![]()
![]()
Sawa mkuu![]()
![]()
![]()
Chid unga unampeleka puta
Suge stress zinampa tabu.
Tupac is dead.. kilichokuwa hai ni mziki wake na yale aliyozungumza na kuwa kama utabiri kupitia mziki wake
Humu ndani kuna machejo naona jina Nyagei lipo kimadoido imekuwaje hapo?
Shukrani ankali, ila dah safar yenyewe ya usingjz ndio imeishia hapa.Usiku mwema na kwako pia