Makapuku Forum

Makapuku Forum

Safi tu mkuu
Vipi nawe mtazamo wako kuhusu Tupac Omar Shakur

Maana Chid Benz katuambia yupo hai na pia Suge Knight naye kasema hivyo.

VIPI KWAKO?

Chid unga unampeleka puta
Suge stress zinampa tabu.

Tupac is dead.. kilichokuwa hai ni mziki wake na yale aliyozungumza na kuwa kama utabiri kupitia mziki wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom