Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Ni kweli chief...Naunga mkono chief ujue hizo adds zinazoonekana ni results ya site unazotembelea mara kwa mara ...ntaongea na bro kwanza![]()
![]()
![]()

Kho kho kho khoSina nilishagawa nikiwa na shida nanunua tu ya mda mfupi ya kutumia
Hata me naona makaHahaa.. wambea hao
Shem jaman kweli sijawahi ingia halaf mbona hata tangazo la BBC Swahili linakuja na sijawahi ingia kwenye website yaoNaunga mkono chief ujue hizo adds zinazoonekana ni results ya site unazotembelea mara kwa mara ...ntaongea na bro kwanza![]()
![]()
![]()

Ipo apa sema yamepungua kiasiUmefnikiwa kudownload hyo!?
Kweli kabisaNi kweli chief...![]()
![]()
![]()
![]()
Kwani utakubar??Shem jaman kweli sijawahi ingia halaf mbona hata tangazo la BBC Swahili linakuja na sijawahi ingia kwenye website yao![]()
![]()
Usiniambie unaisema ile ndogo ni huawei ujue shemKho kho kho kho
Me nakubali kwani niniiii si kuangalia tu mavitu jamanKwani utakubar??
Hiyo siijuiiiUsiniambie unaisema ile ndogo ni huaweu ujue shem
najua teco w3
Kwahiyo shem unajua simu zangu kuliko mm muhusika halaf mbona sijawahi shika hiyo tecno w3Hiyo siijuiii![]()
![]()
![]()
najua teco w3
Kwa nini unaangaliaa wakati bro yupo au safar zake zinaleta mshikeliiii?Me nakubali kwani niniiii si kuangalia tu mavitu jaman
Futa baadhi ya app itatuliaJaman kwenye kuweza kunisaidia anisaidie aisee napata shida au sijui niende jukwaa la tec simu yangu inaniletea matangazo yaan upo busy na kuchat mtangazo huo kwa screen yaan mengine hata aibu
Sijawahi angalia sasa shem ningeangalia ningekubali mimiKwa nini unaangaliaa wakati bro yupo au safar zake zinaleta mshikeliiii?
Ujue leo umeenda churchKwahiyo shem unajua simu zangu kuliko mm muhusika halaf mbona sijawahi shika hiyo tecno w3