Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Sina app nyingi nina 4 tuFuta baadhi ya app itatulia
Sina app nyingi nina 4 tuFuta baadhi ya app itatulia
Mshikaji unafeliiiFuta baadhi ya app itatulia
Shem jaman watu wa humu ujue huwa wanaamini sina tecno mimiUjue leo umeenda church
Kwani tecno sio simu??Shem jaman watu wa humu ujue huwa wanaamini sina tecno mimi
Ni simu nzuri sana ila ndio situmii hapaKwani tecno sio simu??
Pm ndo inanogaMaka asante tena jamaanMungu azidi kukubariki kukiwa na chochote tena nitarudi tena usinichoke angekuwa mwingine njo pm we elekeza apa apa kama makaveli
Nataka anisaidie shemejiHope atakusaidia
Cc baba wawili
Jaman kwenye kuweza kunisaidia anisaidie aisee napata shida au sijui niende jukwaa la tec simu yangu inaniletea matangazo yaan upo busy na kuchat mtangazo huo kwa screen yaan mengine hata aibu

Ndio niniiiii
Kwangu pm niliwaambia mods waniondolee shemPm ndo inanoga
Mwenzio akiwa na shida mke mwee unamcheka kweliii
Ila kwa wewe nakuaamin.. nasema bigi nooooJamaan![]()
![]()
![]()
Maka me nikiwa na shida za kuangalia nashuka jukwaa la chini zimejaa tele kule sijaangalia kweliIla kwa wewe nakuaamin.. nasema bigi noooo
Nikuagizie nini?Kwangu pm niliwaambia mods waniondolee shem
Fanta ya baridiiii shemNikuagizie nini?
Maka asante tena jamaanMungu azidi kukubariki kukiwa na chochote tena nitarudi tena usinichoke angekuwa mwingine njo pm we elekeza apa apa kama makaveli
pm ya nin ndugu yangu, uduwanzi huo sina dada yangu..Watoe nduki..Hata me naona maka