Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Yupo busy T akipata mda utamuona ataingia
Yupo busy T akipata mda utamuona ataingia
Umefanikiwa!?Maka asante tena jamaanMungu azidi kukubariki kukiwa na chochote tena nitarudi tena usinichoke angekuwa mwingine njo pm we elekeza apa apa kama makaveli
![]()
![]()
pm ya nin ndugu yangu, uduwanzi huo sina dada yangu..
Mie na wewe tena, naanzaje kukuchoka hamna kitu najiskia raha kama kumsaidia mtu ambae ananikubali nami namkubali..
U r welcom shunie wangu..
maka ila kuna moja tu linakuja kuja la robot jaman ila sio mbaya kuliko mwanzo kila dk 1 linakuja hili linaingia lile
AhahahahhWatoe nduki..
Asilimia 95 maka nimefanikiwaUmefanikiwa!?

Baba wawili msaada pleaseNataka anisaidie shemeji
msaidie shemejioUna upakoNdio niniiiii
HallelujahUna upako
Umechukua adclear ama ipi!?![]()
maka ila kuna moja tu linakuja kuja la robot jaman ila sio mbaya kuliko mwanzo kila dk 1 linakuja hili linaingia lile
Leo bday yko eeeh
Asanteee pata shida ujue nani rafiki najionea mie
Asilimia 95 maka nimefanikiwa![]()

Hiyo hiyo maka kwenye screen juu kuna kikufuliUmechukua adclear ama ipi!?
Kama ni adclear iset vizur tu, inablock takataka zote hadi ads za youtube hazina nafasi.
AmeeeeniHallelujah
Leteeeeeeni Fanta ya ShunieeeFanta ya baridiiii shem
Hakuna visamaki pembeni jamaan na kachumbali![]()
![]()
![]()
![]()
Wacha nikale nguna na mlenda wangu mke..![]()
![]()
![]()



Umenchekesha kweli leo,pole lakiniAsanteee pata shida ujue nani rafiki najionea mie
Sitakiiii pole yako baki nayo mwenyewe we endelea kuchekaUmenchekesha kweli leo,pole lakini
Ikujeeee fanta ya shunie jamanLeteeeeeeni Fanta ya Shunieee