Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,166
Yupo busy T akipata mda utamuona ataingia
Yupo busy T akipata mda utamuona ataingia
Umefanikiwa!?Maka asante tena jamaan [emoji120] Mungu azidi kukubariki kukiwa na chochote tena nitarudi tena usinichoke angekuwa mwingine njo pm we elekeza apa apa kama makaveli
[emoji120] [emoji120] maka ila kuna moja tu linakuja kuja la robot jaman ila sio mbaya kuliko mwanzo kila dk 1 linakuja hili linaingia lile[emoji23] [emoji23] [emoji23] pm ya nin ndugu yangu, uduwanzi huo sina dada yangu..
Mie na wewe tena, naanzaje kukuchoka hamna kitu najiskia raha kama kumsaidia mtu ambae ananikubali nami namkubali..
U r welcom shunie wangu..
AhahahahhWatoe nduki..
Asilimia 95 maka nimefanikiwa [emoji120]Umefanikiwa!?
Baba wawili msaada please[emoji120] [emoji120] [emoji120] msaidie shemejioNataka anisaidie shemeji
Una upakoNdio niniiiii
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Mwenzio akiwa na shida mke mwee unamcheka kweliii
HallelujahUna upako
Umechukua adclear ama ipi!?[emoji120] [emoji120] maka ila kuna moja tu linakuja kuja la robot jaman ila sio mbaya kuliko mwanzo kila dk 1 linakuja hili linaingia lile
Leo bday yko eeeh
Asanteee pata shida ujue nani rafiki najionea mie[emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Asilimia 95 maka nimefanikiwa [emoji120]
Hiyo hiyo maka kwenye screen juu kuna kikufuliUmechukua adclear ama ipi!?
Kama ni adclear iset vizur tu, inablock takataka zote hadi ads za youtube hazina nafasi.
AmeeeeniHallelujah
Leteeeeeeni Fanta ya ShunieeeFanta ya baridiiii shem
Hakuna visamaki pembeni jamaan na kachumbali [emoji39][emoji39][emoji39][emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Wacha nikale nguna na mlenda wangu mke..[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Umenchekesha kweli leo,pole lakiniAsanteee pata shida ujue nani rafiki najionea mie
Sitakiiii pole yako baki nayo mwenyewe we endelea kuchekaUmenchekesha kweli leo,pole lakini
Ikujeeee fanta ya shunie jamanLeteeeeeeni Fanta ya Shunieee