Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Pambana nayoJaman kwenye kuweza kunisaidia anisaidie aisee napata shida au sijui niende jukwaa la tec simu yangu inaniletea matangazo yaan upo busy na kuchat mtangazo huo kwa screen yaan mengine hata aibu
Shem ujue nilicheka ile kama ndio utani wenu changamoto sanaEbhu nambie ulichofikria kabla sijachange dp
![]()
![]()
![]()
![]()
HahahahahahahShem ujue nilicheka ile kama ndio utani wenu changamoto sana
Jamaan ebu nisaidie basi kuna app nimeelekezwa niinstall naona ni vile vile tuPambana nayo
Tafuta app ya ad blocks, lakin nzur ni za kulipia..Jaman kwenye kuweza kunisaidia anisaidie aisee napata shida au sijui niende jukwaa la tec simu yangu inaniletea matangazo yaan upo busy na kuchat mtangazo huo kwa screen yaan mengine hata aibu
Zote maka natumia s6 yaan hizo mambo ghafla tu zimeanza jamanTafuta app ya ad blocks, lakin nzur ni za kulipia..
Na inakutokea hvyo ukiwa unachat kwenye app gani au zote!? Na simu ipi unatumia!?
Sema ukweli ni tecno w3Zote maka natumia s6 yaan hizo mambo ghafla tu zimeanza jaman
Jaribu adclear hii ni kiboko ya mambo yote, unaweza kukuta mpaka vtangazo vya jf vinaweza kuzuiwa.. ila haipo playstore.Jamaan ebu nisaidie basi kuna app nimeelekezwa niinstall naona ni vile vile tu
Sema ukweli ni tecno w3








tecno natumia ikiwa simu yangu labda ina matatizo halaf usinikumbushe ujue
tecno natumia ikiwa simu yangu labda ina matatizo halaf usinikumbushe ujue

Tupo shemelaHuo ndio ukweli nina upako ila nawaona tu
Asante maka ngoja niinstall yaan kuna mda mpaka unatamani kuitupa simu yakoJaribu adclear hii ni kiboko ya mambo yote, unaweza kukuta mpaka vtangazo vya jf vinaweza kuzuiwa.. ila haipo playstore.
Nimekumbuka mbali sana hivi una niniii
Unatumia brand ganiJamaan ebu nisaidie basi kuna app nimeelekezwa niinstall naona ni vile vile tu
Asante maka ngoja niinstall yaan kuna mda mpaka unatamani kuitupa simu yako

Aisee nimecheka sana aiseeSema ukweli ni tecno w3
Sema ndio kubari yaishe shemelatecno natumia ikiwa simu yangu labda ina matatizo halaf usinikumbushe ujue
