BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Kaushaaaviporo vyako nashindwa kukujibu
Usimsifie hiyo sio tabia mzurikidume
Bora wewe madam obe, mwalimu wa kiswahili toka uzaramon primary school umueleweshe, maana ni mbishi km ngozi ya tako..
We chendu nin.. unakurupuka kama ulikuwa unajisaidia porin ukatokewa na kobra ghafla..
Sijamuita yeye.. mr lover lover ni a.k.a ya shaggy.. nyama wee
Nimewashangaza..Kunguni usiku wamekushangaa au umewashangaza chief??
Na mie naombeni mnitumie jaamaani
Halafu mke mweee nmetumiwa hadithi nmeambiwa nkutumie na ww hebu npe utaratibu nitimize masharti mie
Hyo anayokukaushia, Akufungie au unakula hapa hapa.. unaweka kila kitu, tomato, chili,salad na pilipiliKaushaaa
Ahsanteni..hongereni
Kwenda huko, uaminifu ndio kabila gani, nioneshe mwaminifu, we mwenyewe mpango wa kando wapo kama 7 hiv, unapiga cr7.Usimsifie hiyo sio tabia mzuri
Inatakiwa awe na mmoja muaminifu
Wee usicheke mwenyewe kanunaa
AsanteeDomo kama ufudu
Labda avimbe na apasuke, ndio tutaacha kucheka, maana tena huo utakuwa msiba, atakuwa amekufilia mbaliWee usicheke mwenyewe kanunaa
hivi mbona umefanana na binamu obe vituko vyenu halaf msikute nyie watu ni mababu hizi I'd fake na avatar zinaficha mengi sana
Live nakwambia, kama ningekuwa mtoto wa kike na mzaramo kama husna nasubri kuchezwa ngoma..
Ongera sanaNimewashangaza..
Loh!Yupo hapa kalala hoi.. kasema poo!!
Namsubiri alfajiri alfajir.. nikandamize vi3 vya mkwezi.. kimoja bafuni, kimoja kwa kiti na lastly kwa bed..